Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,471
- 23,744
Huyu jamaa amekuwa akinifuatilia muda mrefu sana. Jumamosi kidogo nimchane na risasi pajani.but tukayamaliza. Leo nmekuta anaendelea kunipikia majungu.
Ni muda mrefu nlimwambia majungu si mtaji.lakini naona kawekeza sana kwenye hayo. Jamaa ana roho ya kichawi kabisa.yaani hivi mnacheka naye lakini ukigeuka tu anakusema vibaya sana.baadaye atakupigia simu akikuita bro n.k
Nlishamwambia apite kushoto nipite kulia ila naona haelewi.nmeona tusigawane majengo ya serikali.nirudi kwenye asili yetu.
Rukwa aka Sumbawanga nasikia wanatengeneza RADI. Radi zao hazitegemei msimu wa mvua. Je kuna mtu anafahamu gharama zake? Mi staki ile radi grade 1 ya kuua kabisa.
Hapana. Nataka ya kumchania chania nguo zote mbele za watu na kumgaragaza chini kinyama...kumpa michubuko mwili mzima.je kwa radi hiyo itakuwa Tsh. ngapi?
Pia nataka nijue kama nikinunua ni lazima niifate kiwandani au wanaweza ituma kwenye magari ya mikoani au posta?
Ushauri wangu pia. Kama wanaweza wangefungua vituo huku kuwe na agents wao ili tuwe tunapata hizo radi kirahisi tu kuwatumia watesi wetu.hii itatuondolea hbr ya kufuatilia kesi na kuwekwa ndani.
WALIOKO SUMBAWANGA/RUKWA MKOA. PLEASE NAOMBA MSAADA WENU.MNIPE BEI NA PIA NAMNA YA KUPATA HIYO BIDHAA.ASANTENI.
Ni muda mrefu nlimwambia majungu si mtaji.lakini naona kawekeza sana kwenye hayo. Jamaa ana roho ya kichawi kabisa.yaani hivi mnacheka naye lakini ukigeuka tu anakusema vibaya sana.baadaye atakupigia simu akikuita bro n.k
Nlishamwambia apite kushoto nipite kulia ila naona haelewi.nmeona tusigawane majengo ya serikali.nirudi kwenye asili yetu.
Rukwa aka Sumbawanga nasikia wanatengeneza RADI. Radi zao hazitegemei msimu wa mvua. Je kuna mtu anafahamu gharama zake? Mi staki ile radi grade 1 ya kuua kabisa.
Hapana. Nataka ya kumchania chania nguo zote mbele za watu na kumgaragaza chini kinyama...kumpa michubuko mwili mzima.je kwa radi hiyo itakuwa Tsh. ngapi?
Pia nataka nijue kama nikinunua ni lazima niifate kiwandani au wanaweza ituma kwenye magari ya mikoani au posta?
Ushauri wangu pia. Kama wanaweza wangefungua vituo huku kuwe na agents wao ili tuwe tunapata hizo radi kirahisi tu kuwatumia watesi wetu.hii itatuondolea hbr ya kufuatilia kesi na kuwekwa ndani.
WALIOKO SUMBAWANGA/RUKWA MKOA. PLEASE NAOMBA MSAADA WENU.MNIPE BEI NA PIA NAMNA YA KUPATA HIYO BIDHAA.ASANTENI.