Gharama ya kumpeleka Makamu wa Rais, Mawaziri, wateule na viongozi wengine Zanzibar kwa uapisho, ingeweza kujenga matundu ya choo mangapi?

Salary Slip

Platinum Member
Apr 3, 2012
49,238
151,899
Hili ndio swali ninalojiuliza ukizinatia hao wateule na wageni wote hao wametoka Dodoma ambapo pana Ikulu ambayo ingetumika kufanya hiyo shughuli.

Tukumbuke nchi yetu ina matatizo kibao ikiwemo shule za msingi na hata za sekondari zinazomilikuwa na serikali kuwa na upungufu wa matundu ya choo mbali na upingufu wa vitu kama madawati, n.k.

Tusisahau pia Ikulu ya Dodoma imejengwa kwa gharama kubwa na pia ipo katika ya nchi.

Sometimes najiuliza au lengo ni kupeleka wageni Zanzibari ili Zanzibar ifanye biashara ya mahoteli, vinywaji, vyakula, n.k?

Hakika hii nchi ni masikinii kwasababu tuna viongozi wasiofaa na si kitu kingine.
 
Hili ndio swali ninalojiuliza ukizinatia hao wateule na wageni wote hao wametoka Dodoma ambapo pana Ikulu ambayo ingetumika kufanya hiyo shughuli.Tukumbuke nchi yetu ina matatizo kibao ikiwemo shule za msingi na hata za sekondari zinazomilikuwa na serikali kuwa na upungufu wa matundu ya choo mbali na upingufu wa vitu kama madawati, n.k.

Sometimes najiuliza au lengo ni kupeleka wageni Zanzibari ili Zanzibar ifanye biashara ya mahoteli, vinywaji, vyakula, n.k?

Hakika hii nchi ni masikinii kwasababu tuna viongozi wasiofaa na si kitu kingine.
Matundu ya choo?? Hata walimu hawatoshi, lakini hawaajiriwi na mtaani kuna batch nyingi sana!!! Hazina ajira
 
Siyo mimi ni :

THOMAS SANKARA

"Huwezi kufanya mabadiliko ya msingi bila kiwango fulani cha ujasiri unaoonekana kama ni wenda wazimu. Ilikuwa ni watu waliodhaniwa kuwa na wazimu hapo zamani waliotuwezesha kuwa na uwazi wa hali ya juu leo. Nataka kuwa mmoja wa watu hao waliodhaniwa kuwa ni wenda wazimu. Lazima tuwe na ujasiri wa kubuni mustakabali mpya."
 
Sometimes najiuliza au lengo ni kupeleka wageni Zanzibari ili Zanzibar ifanye biashara ya mahoteli, vinywaji, vyakula, n.k? Hili ndilo jibu lenyewe.
1733822986970.png
 
Siyo mimi ni :

THOMAS SANKARA

"Huwezi kufanya mabadiliko ya msingi bila kiwango fulani cha ujasiri unaoonekana kama ni wenda wazimu. Ilikuwa ni watu waliodhaniwa kuwa na wazimu hapo zamani waliotuwezesha kuwa na uwazi wa hali ya juu leo. Nataka kuwa mmoja wa watu hao waliodhaniwa kuwa ni wenda wazimu. Lazima tuwe na ujasiri wa kubuni mustakabali mpya."
Safi, mama analijua hilo na ndo maana kwa ujasiri kabisa anawaapisha mawaziri Sasa hv huko Kizimkazi.
 
Hili ndio swali ninalojiuliza ukizinatia hao wateule na wageni wote hao wametoka Dodoma ambapo pana Ikulu ambayo ingetumika kufanya hiyo shughuli.

Tukumbuke nchi yetu ina matatizo kibao ikiwemo shule za msingi na hata za sekondari zinazomilikuwa na serikali kuwa na upungufu wa matundu ya choo mbali na upingufu wa vitu kama madawati, n.k.

Tusisahau pia Ikulu ya Dodoma imejengwa kwa gharama kubwa na pia ipo katika ya nchi.

Sometimes najiuliza au lengo ni kupeleka wageni Zanzibari ili Zanzibar ifanye biashara ya mahoteli, vinywaji, vyakula, n.k?

Hakika hii nchi ni masikinii kwasababu tuna viongozi wasiofaa na si kitu kingine.
Katika yoote, umewaza KNYA tu
 
Mtoa mada wewe nyumbani kwako umemaliza matatizo yote? Lakini soda au bia haunywi... au starehe hufanyi? Ok unahaki ya kutoa maoni yako lakini sio ya kipumbavu kiasi hicho.
 
Back
Top Bottom