CABANA JF-Expert Member Feb 6, 2013 418 523 Oct 8, 2019 #1 Habari zenu wanaJF, Naomba kujua kwa yeyote anayejua gharama za kuchukua fomu za kugombea uenyekiti Serikali za mitaa kupitia chama cha mapinduzi ni kiasi gani. Nawasilisha.
Habari zenu wanaJF, Naomba kujua kwa yeyote anayejua gharama za kuchukua fomu za kugombea uenyekiti Serikali za mitaa kupitia chama cha mapinduzi ni kiasi gani. Nawasilisha.
Vitalis Msungwite JF-Expert Member May 11, 2014 3,267 7,776 Oct 8, 2019 #4 Ndani ya chama ni bure, muone katibu wa shina au tawi husika.