Gharama mpya za kununua umeme wa LUKU hizi hapa!

Naingia kwenye mada moja kwa moja pasipo kupepesa macho. Tangu kampuni za simu za mkononi zivumbue njia mpya ya kununua umeme wa LUKU bure kupitia mpesa, tigo pesa, airtel money, etc, ununuzi wa umeme umekuwa rahisi sana. Ununuzi wa umeme unaweza kufanyika muda wowote, iwe usiku au mchana au wakati hali ya hewa inapokuwa mbaya, kwa mfano, wakati wa mvua. Mtu kulala giza wakati una salio kwenye mpesa, tigo pesa au airtel money, ni kujitakia mwenyewe.

Baada ya serikali ya awamu ya tano kugundua kwamba wananchi wanafaidi bure huduma hii ya kununua umeme, ambayo kimsingi serikali haichangii chochote, serikali tukufu ya awamu ya tano, wameamua kuwakamua wananchi bila shuruti na bila sababu zozote za msingi. Mwanzoni huduma hii ilikuwa ikipatikana bure kabisa lakini sasa wananchi wanyonge watahitajika kukamuliwa 1.1% ya gharama za kununua umeme. Hii ni mbali na 18% VAT, 3% REA na 1% EWURA tunazokamuliwa kila kukicha.

Serikali hii inayojinasibu kuwajali wanyonge imeamua, kwa makusudi kabisa, kuwaongezea wanyonge mzigo wa gharama za maisha kwa kuwakamua zaidi fedha kidogo walizobaki nazo mifukoni mwao. Sijawahi kuona serikali yenye roho mbaya kwa wananchi wanyonge kama serikali hii ya awamu ya 5.

Kwa wale ambao hamfahamu mzigo wa 1.1% ya gharama za kununua umeme, itabidi twende taratibu mpaka muelewe. Kwa mfano, mwananchi anayemiliki kiwanda kidogo kama saluni, hutumia umeme usiopungua Tsh 100,000 kwa siku. Hivyo, atalazimika kukamauliwa Tsh 1100 kwa siku, sawa na Tsh 33,000 kwa mwezi = Tsh 396,000 kwa mwaka = Tsh 3,168,000 hadi awamu ya kwanza ya utawala wa serikali ya awamu ya 5 itakapoisha. Ikiwa gharama zitaendelea kubaki kama zilivyo hadi mwaka 2025, mwekezaji huyu wa kiwanda kidogo atakuwa amekamuliwa jumla ya Tsh 15,840,000 (shilingi milioni kumi na tano, laki nane na elfu arobaini).

Namba huwa hazidanganyi. Hapa ndipo hii serikali yetu ya viwanda ilipotufikisha. Mantiki ya gharama hizi mpya haifahamiki vizuri kwa wananchi wengi kama ilivyo kwa makato ya VAT, EWURA na REA. Kwa gharama za ajabuajabu kama hizi, viwanda vitaendeshwaje katika nchi hii? Hapa nimetolea mfano mdogo tu kwa mwekezaji mdogo anayemiliki kiwanda cha saluni ya nywele. Ikiwa hali ndiyo hii kwa wawekezaji wadogo, je wawekezaji wakubwa kama akina Dangote si wataikimbia nchi?

Ifike wakati serikali hii iwaonee huruma wananchi wapatao milioni 65 wanaoishi maisha magumu katika nchi hii. Kampuni za simu zina huruma zaidi kwa wananchi kuliko serikali yao kandamizi inayowakamua fedha bila huruma kila kukicha. Kampuni za simu ziliona ni busara huduma hii itolewe bure lakini serikali hii imeona wanachi wanafaidi sana hadi kufikia uamuzi wa ajabu kuwakamua fedha zaidi bila sababu za msingi. Inauma sana.
Ujumbe huu ungekuwa wa manufaa kama ungeeleza hiyo 1.1% ni kwa lengo gani. Kama ni kwa ajili ya makampuni ya simu, yuko sahihi maana wanapofaidika na biashara ya ziada zaidi ya miito lazima walipe. Kwenye biashara zingine kama ----- pesa wanalipa, kwa nini LUKU wasilipe? ktk Ulipaji huo kwa manufaa yao watajidai kuiacha iende kwa mnunuzi, jambo ambalo ni ujinga wa makampuni ya simu.

Sasa ukavuruga kwa hesabu za kitoto. Unasingizia viwanda ili watu wasilipe kwa mapato yao. Kiwanda chenyewe unasema kiwanda kidogo kama saluni. Matumizi unaipa TZS 100,000! Ukishatumia umeme wa kiwango hicho kwa siku, unawezaje kushindwa kulipa 1.1%. Haya ndo maelezo ya kujenga uadui wa bureee! Andika mambo yaliyo na uhalisia.
 
Naingia kwenye mada moja kwa moja pasipo kupepesa macho. Tangu kampuni za simu za mkononi zivumbue njia mpya ya kununua umeme wa LUKU bure kupitia mpesa, tigo pesa, airtel money, etc, ununuzi wa umeme umekuwa rahisi sana. Ununuzi wa umeme unaweza kufanyika muda wowote, iwe usiku au mchana au wakati hali ya hewa inapokuwa mbaya, kwa mfano, wakati wa mvua. Mtu kulala giza wakati una salio kwenye mpesa, tigo pesa au airtel money, ni kujitakia mwenyewe.

Baada ya serikali ya awamu ya tano kugundua kwamba wananchi wanafaidi bure huduma hii ya kununua umeme, ambayo kimsingi serikali haichangii chochote, serikali tukufu ya awamu ya tano, wameamua kuwakamua wananchi bila shuruti na bila sababu zozote za msingi. Mwanzoni huduma hii ilikuwa ikipatikana bure kabisa lakini sasa wananchi wanyonge watahitajika kukamuliwa 1.1% ya gharama za kununua umeme. Hii ni mbali na 18% VAT, 3% REA na 1% EWURA tunazokamuliwa kila kukicha.

Serikali hii inayojinasibu kuwajali wanyonge imeamua, kwa makusudi kabisa, kuwaongezea wanyonge mzigo wa gharama za maisha kwa kuwakamua zaidi fedha kidogo walizobaki nazo mifukoni mwao. Sijawahi kuona serikali yenye roho mbaya kwa wananchi wanyonge kama serikali hii ya awamu ya 5.

Kwa wale ambao hamfahamu mzigo wa 1.1% ya gharama za kununua umeme, itabidi twende taratibu mpaka muelewe. Kwa mfano, mwananchi anayemiliki kiwanda kidogo kama saluni, hutumia umeme usiopungua Tsh 100,000 kwa siku. Hivyo, atalazimika kukamauliwa Tsh 1100 kwa siku, sawa na Tsh 33,000 kwa mwezi = Tsh 396,000 kwa mwaka = Tsh 3,168,000 hadi awamu ya kwanza ya utawala wa serikali ya awamu ya 5 itakapoisha. Ikiwa gharama zitaendelea kubaki kama zilivyo hadi mwaka 2025, mwekezaji huyu wa kiwanda kidogo atakuwa amekamuliwa jumla ya Tsh 15,840,000 (shilingi milioni kumi na tano, laki nane na elfu arobaini).

Namba huwa hazidanganyi. Hapa ndipo hii serikali yetu ya viwanda ilipotufikisha. Mantiki ya gharama hizi mpya haifahamiki vizuri kwa wananchi wengi kama ilivyo kwa makato ya VAT, EWURA na REA. Kwa gharama za ajabuajabu kama hizi, viwanda vitaendeshwaje katika nchi hii? Hapa nimetolea mfano mdogo tu kwa mwekezaji mdogo anayemiliki kiwanda cha saluni ya nywele. Ikiwa hali ndiyo hii kwa wawekezaji wadogo, je wawekezaji wakubwa kama akina Dangote si wataikimbia nchi?

Ifike wakati serikali hii iwaonee huruma wananchi wapatao milioni 65 wanaoishi maisha magumu katika nchi hii. Kampuni za simu zina huruma zaidi kwa wananchi kuliko serikali yao kandamizi inayowakamua fedha bila huruma kila kukicha. Kampuni za simu ziliona ni busara huduma hii itolewe bure lakini serikali hii imeona wanachi wanafaidi sana hadi kufikia uamuzi wa ajabu kuwakamua fedha zaidi bila sababu za msingi. Inauma sana.
Bandiko lako lako linavutia lkn plz ondoa hisia unapoandika

Be subjective mkuu

USHAURI WANGU TU LKN
 
Hiyo 1.1 ukinunua kwa simu, ila ukienda kwa venda za tanesco hukatwi hiyo 1.1 sasa mwenye kiwanda kinachotumia laki kwa siku, jiongeze kaunge foleni vibandani. Kisha pima thamani ya muda utaoupoteza na resources utazotumia kufika kibandani na kurudi kisha linganisha na na 1.1. Acha ubaili, usipende vya bure
 
Mkuu sisi wenye mashine za selcom commission imepungua hatariii.....kabla ya gharama mpya kwa kla 10k commission 250 kwa sasa haifiki hata 10k
 
Baada ya namba kuzisoma zimekwisha had I za kichina sasa tujiandae KODI YA KICHWA ama kutoka mkoa mmoja kwenda mwingine tutatakiwa kulipa Kodi

Watu hawa muda mwingine unajiuliza NI KWELI WANAFIKIRIA KUTUMIA AKILI ZILIZOPO KICHWANI AU LA? Maana umeme unalipia REA, EWURA NA KTKT MAFUTA vilevile.
 
Naingia kwenye mada moja kwa moja pasipo kupepesa macho. Tangu kampuni za simu za mkononi zivumbue njia mpya ya kununua umeme wa LUKU bure kupitia mpesa, tigo pesa, airtel money, etc, ununuzi wa umeme umekuwa rahisi sana. Ununuzi wa umeme unaweza kufanyika muda wowote, iwe usiku au mchana au wakati hali ya hewa inapokuwa mbaya, kwa mfano, wakati wa mvua. Mtu kulala giza wakati una salio kwenye mpesa, tigo pesa au airtel money, ni kujitakia mwenyewe.

Baada ya serikali ya awamu ya tano kugundua kwamba wananchi wanafaidi bure huduma hii ya kununua umeme, ambayo kimsingi serikali haichangii chochote, serikali tukufu ya awamu ya tano, wameamua kuwakamua wananchi bila shuruti na bila sababu zozote za msingi. Mwanzoni huduma hii ilikuwa ikipatikana bure kabisa lakini sasa wananchi wanyonge watahitajika kukamuliwa 1.1% ya gharama za kununua umeme. Hii ni mbali na 18% VAT, 3% REA na 1% EWURA tunazokamuliwa kila kukicha.

Serikali hii inayojinasibu kuwajali wanyonge imeamua, kwa makusudi kabisa, kuwaongezea wanyonge mzigo wa gharama za maisha kwa kuwakamua zaidi fedha kidogo walizobaki nazo mifukoni mwao. Sijawahi kuona serikali yenye roho mbaya kwa wananchi wanyonge kama serikali hii ya awamu ya 5.

Kwa wale ambao hamfahamu mzigo wa 1.1% ya gharama za kununua umeme, itabidi twende taratibu mpaka muelewe. Kwa mfano, mwananchi anayemiliki kiwanda kidogo kama saluni, hutumia umeme usiopungua Tsh 100,000 kwa siku. Hivyo, atalazimika kukamauliwa Tsh 1100 kwa siku, sawa na Tsh 33,000 kwa mwezi = Tsh 396,000 kwa mwaka = Tsh 3,168,000 hadi awamu ya kwanza ya utawala wa serikali ya awamu ya 5 itakapoisha. Ikiwa gharama zitaendelea kubaki kama zilivyo hadi mwaka 2025, mwekezaji huyu wa kiwanda kidogo atakuwa amekamuliwa jumla ya Tsh 15,840,000 (shilingi milioni kumi na tano, laki nane na elfu arobaini).

Namba huwa hazidanganyi. Hapa ndipo hii serikali yetu ya viwanda ilipotufikisha. Mantiki ya gharama hizi mpya haifahamiki vizuri kwa wananchi wengi kama ilivyo kwa makato ya VAT, EWURA na REA. Kwa gharama za ajabuajabu kama hizi, viwanda vitaendeshwaje katika nchi hii? Hapa nimetolea mfano mdogo tu kwa mwekezaji mdogo anayemiliki kiwanda cha saluni ya nywele. Ikiwa hali ndiyo hii kwa wawekezaji wadogo, je wawekezaji wakubwa kama akina Dangote si wataikimbia nchi?

Ifike wakati serikali hii iwaonee huruma wananchi wapatao milioni 65 wanaoishi maisha magumu katika nchi hii. Kampuni za simu zina huruma zaidi kwa wananchi kuliko serikali yao kandamizi inayowakamua fedha bila huruma kila kukicha. Kampuni za simu ziliona ni busara huduma hii itolewe bure lakini serikali hii imeona wanachi wanafaidi sana hadi kufikia uamuzi wa ajabu kuwakamua fedha zaidi bila sababu za msingi. Inauma sana.
Piga na gharama za bundle/kupiga simu kwa siku x mwezi x mwaka ndipo utajua umeme ni afadhali kuliko gharama za simu lakini kwa kuwa tunawajua ni watu wa kuipaka matope serikali kazi mnayotumwa na mwenyekiti Dj Kim Il Sung mnajitoa ufahamu,kama unaona gharama weka umeme jua,sio unatoa machozi ya unafiki hapa,kwenda zako huko
 
Kukatwa Kodi Sio tatizo, tatizo linakuja pale kodi yangu inapotumika ndivyo sivyo, inapotumika kama kununulia Wabunge, madiwani na kwenda kujengea uwanja wa ndege chato bila kuwa kwenye bajeti, huku mambo muhimu yakiachwa bila kutekelezwa.
 
Mtoa post ulitaka kutuonyesha bei ya umeme au mgawanyo wa pesa pindi unaponunua umeme. Sijakuelewa naona tu unajenga hoja badala ya kutuonyesha bei za umeme kama zimebadilika kama kichwa cha habari hapo juu. Tujadili mambo muhimu kama.ni siasa sema tukupatie mchango uende wenzio wako Dodoma
Nimejaribu kuangalia kwenye Umeme nilionunua Jana kuona hiyo % anayosema myoa mada sijaona naomba mnieleweshe hiyo gharama iko wapi?
 
mtoa mada umesahau, achana na hayo maasilimia ya keep constant.

Iko hivi siku hizi nikiwa na 30,000/= mkononi nkienda kwa wakala kununua umeme wa hio pesa inabidi nimuongeze miatano yakwake kama wakala au ninunue umeme wa 29500/= hio miatano inabaki kwake
kumbuka hapo bado sijakatwa hayo makodi unayoyasema,

kuna mtu alikuwa na elfu tano kwa tigo pesa akataka kununua umeme wa elfu tano haikuwezelana akalazimka kununua wa elfu nne alakatwa elfu moja, hapo bado hayo makodi kodi

zaman haya mambo hayakuwepo kabisa au ni huku tu wakuu , huko kwenu vipi?
Inawezekana waliopewa tenda ni wakwetu zamu zamu na ndiyo dunia ilivyo hata mvua zinanyesha kwa majira majira yetu masika yenu ilikuwa vuli tuacheni tupalilie shamba subiri mavuno ni yetu sote
 
Your thread is worth reading. Lakini kusema mwenye saloon atatumia Tshs. 100,000 kwa siku is unrealistic.
Nadhani hapo kwa red ulimaanisha salon...

Salon inayotumia umeme wa laki moja kwa siku, labda itakuwa inanyoa nyani na ngedere wote wa Mikumi na Serengeti...
 
Tuendelee kuwa wavumilivu. Serikali iko bize kujenga nchi(reli, flaiovaz, kyato eapoti, n.k) na sio uwezo wa kujikwamua kiuchumi kwa wananchi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom