My dears Karibuni tujenge Taifa jamani kwa kupeana maujuzi ili wengine tu copy na ku paste huku tulipo kwa maslahi binafsi kwanza na ya wengine pia hapo badae.
Nilikuwa napenda kujuzwa kutoka kwenu wenye ujuzi wa mambo ya IT kuhusu hiyo mada tajwa hapo juu.
Natarajia mengi kutoka kwenu
Asante
Nilikuwa napenda kujuzwa kutoka kwenu wenye ujuzi wa mambo ya IT kuhusu hiyo mada tajwa hapo juu.
Natarajia mengi kutoka kwenu
Asante