Hawa kuku challenge yao kubwa ni soko tu, unatakiwa uwe na soko la uhakika ili wiki ya tano kamili wote wanatoka na kwa bei nzuri..
Ila wakifika wiki ya tano ndiyo unaanza kuhangaikia wateja, utalia kwa kilugha chenu..ukizubaa utauza hadi simu kuwanunulia chakula.
Ukiwa na mtaji wa Mil moja kwa kuku 500 inatosha chakukla hadi unawatoa wiki ya 5.
Ila wakifika wiki ya tano ndiyo unaanza kuhangaikia wateja, utalia kwa kilugha chenu..ukizubaa utauza hadi simu kuwanunulia chakula.
Ukiwa na mtaji wa Mil moja kwa kuku 500 inatosha chakukla hadi unawatoa wiki ya 5.