Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,014
- 144,371
Swala la uchunguzi wa makinikia bila shaka lilikuwa na gharama zake na gharama hizo zililipwa kwa kutumia kodi zetu ingawa mpaka sasa hatuoni kinachoendelea licha ya kodi zetu kutumika.
Mimi naomba kuuliza mambo yafuatayo yalitumia fedha kiasi gani.
1.Kamati ilitumia fedha kiasi gani mpaka kukamilisha kazi yake.
2.Matangazo live ya tv yalitgharimu fedha kiasi gani.
3.Majadiliano kati ya serikali na kampuni ya Barrick yalitumia fedha kiasi gani.
4.Gharama za kuandaa na kukabidhi nishani kwa wajumbe wa kamati za makinikia ilikuwa ni kiasi gani.
5.Gharama (kama zipo) za kushikiia makontena ya makinikia kwa miezi kadhaa ni kiasi gani.
6.Mazungumzo yanayoendelea, kama kweli yapo, mpaka sasa yamegharimu fedha kiasi gani.
Ni mimi mlipa kodi.
Mimi naomba kuuliza mambo yafuatayo yalitumia fedha kiasi gani.
1.Kamati ilitumia fedha kiasi gani mpaka kukamilisha kazi yake.
2.Matangazo live ya tv yalitgharimu fedha kiasi gani.
3.Majadiliano kati ya serikali na kampuni ya Barrick yalitumia fedha kiasi gani.
4.Gharama za kuandaa na kukabidhi nishani kwa wajumbe wa kamati za makinikia ilikuwa ni kiasi gani.
5.Gharama (kama zipo) za kushikiia makontena ya makinikia kwa miezi kadhaa ni kiasi gani.
6.Mazungumzo yanayoendelea, kama kweli yapo, mpaka sasa yamegharimu fedha kiasi gani.
Ni mimi mlipa kodi.