Sexer
JF-Expert Member
- Oct 22, 2014
- 8,215
- 7,906
Kweli usukuman kabisa ufanye ujinga kama huu hiyo kitu haiwezekani aisee mikoma lazima itumike wamwise
Tena siyo mikoma tu had mbasa na magembe yatatumika
hahahahah! yaya ekishimbe gete!!
Kweli usukuman kabisa ufanye ujinga kama huu hiyo kitu haiwezekani aisee mikoma lazima itumike wamwise
Tena siyo mikoma tu had mbasa na magembe yatatumika
Agaya kishimbe yaya ukubhise niwalebhelage ghana nywana bhenawohahahahah! yaya ekishimbe gete!!
Kwenye hayo mazishi hapakuwa na wanaume otherwise hao 2 wasingebeba mwiliKizaazaa kilitokea wakati wahudumu katika makaburi walitoa mwili katika jeneza na 'kuuteka nyara' kwasababu ya deni
Kisa hicho cha kushtua kilitokea Accra, Ghana. Iliripotiwa kuwa familia ya marehemu walishindwa kuwalipa wahudumu hao wa chumba cha kuhifadhia maiti waliodai familia hiyo Sh3,000 za Ghana
Kisa kilianza wakati wanaume wawili wamesimama juu ya jeneza huku mamia ya watu wakiwa wamesimama kutazama kisa hicho
Wahudumu hao wenye ghadhabu waliwapigia kelele umati huo huku wakiendelea kuutoa mwili huo katika jeneza
Muda mfupi baadaye, wanaume hao wanaonekana wakibeba mwili huo mabegani! Baadhi ya watazamaji wanajaribu kuongea na wanaume hao ambao kwa hasira wanatumia mwili huo kuwaashiria watu kuondokaWanaume hao waliondoka nao kabisa bila kujutia hatua yao hiyo. Haikujulikana ikiwa marehemu alizikwa na hao wanaume au waliendelea kumshikilia kwa kutaka kulipwa.
Chanzo: TaifaLeo