Kawaida sana Mkuu, wewe unasema Kufua watu huwa tunavaa Chupi chafu za Wake zetu na wakati mwingine huwa Tunazivaa Kichwani wakati wa Kulala
mhhh,mbona una vituko,maana nimecheka kweli
Kawaida sana Mkuu, wewe unasema Kufua watu huwa tunavaa Chupi chafu za Wake zetu na wakati mwingine huwa Tunazivaa Kichwani wakati wa Kulala
mi mwenyewe ntafurahi kufuliwa fanya hima basi
Mimi sioni cha ajabu kufua chupi ya mkeo!!!!! Mbona yeye anafua zako? Ni kitu cha kawaida wala sioni uajabu wowote. Mzee fua acha kuchelewa.
Ninayo mpya lete nikufulie ikiwa inakauka unavaa mpya
nimependa hiyo
aaargh!sa ndo nini kufua kitu kipya,acha nivae ndo ufue bana,,hiyo ndo imekaa poa
Jamani wataalam wa mapenzi nisaidieni, mchumba wangu for the first time in our
relation kaniomba nimfulie chupi yake, mm najua yangu anafua ila mm kama mwanaume kufua chupi ya mwanmke naona aaaahhhh.... haipo sawa, nimemwambia ziweke hadi ziwe mbili/tatu hivi halafu nitafua na zangu nikijaribu kumchenga, tena he put a lot of emphasis kasema eti mapenzi ndio yananoga zaidi, sometimes nisimwambie akute nimefua tu kama surprise...!!! surprise ...!!!!??? haya mapenzi haya, plse help
We nae acha kushangaza watu, sasa kufua chupi kunakushangaza nini? Yani we akufulie aafu wewe unaona ahaaa, unachekesha sana na haufai kuwa mume kabisaa labda uache huo mfumo dume wako, fua, pika, ogesha then usimwambie mtu. Shiiiii!
hujaelewa nafua uliyovaa nakupa mpya nimekununulia ndo wavaa wewe
We nae acha kushangaza watu, sasa kufua chupi kunakushangaza nini? Yani we akufulie aafu wewe unaona ahaaa, unachekesha sana na haufai kuwa mume kabisaa labda uache huo mfumo dume wako, fua, pika, ogesha then usimwambie mtu. Shiiiii!
mama mcharuko vipi tena
ukifua tu tunakunyang'anya kadi!
Jamani wataalam wa mapenzi nisaidieni, mchumba wangu for the first time in our
relation kaniomba nimfulie chupi yake, mm najua yangu anafua ila mm kama mwanaume kufua chupi ya mwanmke naona aaaahhhh.... haipo sawa, nimemwambia ziweke hadi ziwe mbili/tatu hivi halafu nitafua na zangu nikijaribu kumchenga, tena he put a lot of emphasis kasema eti mapenzi ndio yananoga zaidi, sometimes nisimwambie akute nimefua tu kama surprise...!!! surprise ...!!!!??? haya mapenzi haya, plse help
Jamani wataalam wa mapenzi nisaidieni, mchumba wangu for the first time in our
relation kaniomba nimfulie chupi yake, mm najua yangu anafua ila mm kama mwanaume kufua chupi ya mwanmke naona aaaahhhh.... haipo sawa, nimemwambia ziweke hadi ziwe mbili/tatu hivi halafu nitafua na zangu nikijaribu kumchenga, tena he put a lot of emphasis kasema eti mapenzi ndio yananoga zaidi, sometimes nisimwambie akute nimefua tu kama surprise...!!! surprise ...!!!!??? haya mapenzi haya, plse help
Mamushka nisamehe, mm najua kupika, kumshirikisha in my bussiness, kazi, on bed utakimbia nakwambia my GF huwa ananena lugha gani sijui, ila la kufua chupi silijui ndio najua sasa, vipi la kuvaa Mamushka? ila akiwa period wallaah sifui
mkuuKaka wewe chumvini huendi?