hahaha! Tutakuwa hewani. Si unajua mambo ya mablackberry na ma laptop?
nyie hapo juu kwa pamoja mkifika kwenye geti tugeza yenu mnidipu nichonge na nyie
MRS firstlady1
Great FL1, ngoja mabinamu waje kutoa review hapa, Geof ndo ana minutes za kikao.jamani hebu tupeni update ya get together ilikuwa namna gani
morning to you all