Sumba-Wanga
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 5,349
- 1,224
khaaa!!! hamna pombe?
hiyo party hainifai ,naona imekaa kilokole zaidi
Si tutakuwa na viroba? Madame B atatufichia kwenye handibagi!
Last edited by a moderator:
khaaa!!! hamna pombe?
hiyo party hainifai ,naona imekaa kilokole zaidi
Tatizo pacha wangu we Ume-base sana kwenye Pombe wakati mi nime-base kwenye mademu!!
Anyway, we njoo hiyo siku unipe company, then from hapo tutatafuta kiwanja kingine chenye pombe nikupe company pacha wangu asakuta same
Si tutakuwa na viroba? Madame B atatufichia kwenye handibagi!
Mi nitakuja kutafuta viburudisho tu. Najua sintokosa kuopoa hao Singles, Devorced e.t.c.
CC: Madame B, bacha, Evelyn Salt, asakuta same & Sumba-Wanga
toba roho yangu!!Nlisahau,
Hivi hapo chumba bei gani??
Tatizo pacha wangu we Ume-base sana kwenye Pombe wakati mi nime-base kwenye mademu!!
Anyway, we njoo hiyo siku unipe company, then from hapo tutatafuta kiwanja kingine chenye pombe nikupe company pacha wangu asakuta same
Mhhhhhhhhhhhh!!!!!!!!!!!
Too civilised for my taste! Im jst curious hao watoa mada mbona inakuwa kama semina tena sio PARTYYYYYYYYYY!!!!!!!!!? Au ushamba wangu?
Mi nitakuja kutafuta viburudisho tu. Najua sintokosa kuopoa hao Singles, Devorced e.t.c.
CC: Madame B, bacha, Evelyn Salt, asakuta same & Sumba-Wanga
shikamoo Shark!!
​miss u hakiyanani!!
kumbe ushapata? basi msije kwenye party/semina mnatuzibia gap tu na kuleta jam......
sasa mpo single,wajane na divorced,mazungumzo ya kuhusu NDOA YA NINI?na ya tulioolewa ni lini?
Ha ha ha azote nyie hamna jipya kwisha habari yenu,kitu singoz pale kati,btw nimekumc shosti