mwananthropolojia
JF-Expert Member
- Oct 6, 2012
- 956
- 638
ukipata ka single lady kamoja unadhani utasinzia basi
nguvu zitatoka wapi,wakati humo ndan mnapewa hofu ya Mungu atakuja kutuchoma na moto mpk dushelele linakua la barid kwa hofu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ukipata ka single lady kamoja unadhani utasinzia basi
nguvu zitatoka wapi,wakati humo ndan mnapewa hofu ya Mungu atakuja kutuchoma na moto mpk dushelele linakua la barid kwa hofu
Wadau mnakumbushwa Get Together party for Singles, Divorced and Widows itafanyika mwishoni mwa mwezi huu June, 2013, Thibitisha ushiriki wako kabla ya tarehe 13 Juni, 2013. Kwa sababu ukumbi tuliopata unachukua watu 60 tu. So, ikifika hiyo namba (60) hatutakubali watu zaidi tena. Kumbuka: MADA: NI HOFU YA MUNGU, LISHE & AFYA KATIKA MAHUSIANO/NDOA. Watoa mada watakuwa wafuatao;
1. Viongozi wa Dini ( Waislamu & Wakristo)
2. Wataalamu wa Lishe
3. Madaktari Bingwa wa Uzazi
4. Washauri Nasaha toka AMREF
NB: Kiingilio ni Tsh. 5000/= (kwa ajili ya Chakula & Vinywaji (Maji & Soda...HAKUNA POMBE)
Thibitisha ushiriki wako kwa kutuma sms kwenda namba 0718756418 au ni-PM
Asanteni
Hii ya watakatifu
ipo ya Ki Belusconi naandaa
can you find cute entertainers?
Wadau mnakumbushwa Get Together party for Singles, Divorced and Widows itafanyika mwishoni mwa mwezi huu June, 2013, Thibitisha ushiriki wako kabla ya tarehe 13 Juni, 2013. Kwa sababu ukumbi tuliopata unachukua watu 60 tu. So, ikifika hiyo namba (60) hatutakubali watu zaidi tena. Kumbuka: MADA: NI HOFU YA MUNGU, LISHE & AFYA KATIKA MAHUSIANO/NDOA. Watoa mada watakuwa wafuatao;
1. Viongozi wa Dini ( Waislamu & Wakristo)
2. Wataalamu wa Lishe
3. Madaktari Bingwa wa Uzazi
4. Washauri Nasaha toka AMREF
NB: Kiingilio ni Tsh. 5000/= (kwa ajili ya Chakula & Vinywaji (Maji & Soda...HAKUNA POMBE)
Thibitisha ushiriki wako kwa kutuma sms kwenda namba 0718756418 au ni-PM
Asanteni
Mi nitakuja kutafuta viburudisho tu. Najua sintokosa kuopoa hao Singles, Devorced e.t.c.
CC: Madame B, bacha, Evelyn Salt, asakuta same & Sumba-Wanga
Mi nitakuja kutafuta viburudisho tu. Najua sintokosa kuopoa hao Singles, Devorced e.t.c.
CC: Madame B, bacha, Evelyn Salt, asakuta same & Sumba-Wanga
Sasa sisi wenye wapenzi humu jamvini itakuwaje?
Na sisi tuje kama Single?
Ha ha ha,Sasa sisi wenye wapenzi humu jamvini itakuwaje?
Na sisi tuje kama Single?
Ha ha ha,
U-single hauna alama Mkuu Sumba-Wanga!! Tatizo ni kua kila atakaekuja pale anakua assumed yuko single, so anakua ni wa yoyote yule.
Yaani unaweza ukaja nae wewe then akarudi na mimi!!
ukipata ka single lady kamoja unadhani utasinzia basi
Mi nitakuja kutafuta viburudisho tu. Najua sintokosa kuopoa hao Singles, Devorced e.t.c.
CC: Madame B, bacha, Evelyn Salt, asakuta same & Sumba-Wanga
Tatizo pacha wangu we Ume-base sana kwenye Pombe wakati mi nime-base kwenye mademu!!khaaa!!! hamna pombe?
hiyo party hainifai ,naona imekaa kilokole zaidi
Ha ha ha,
U-single hauna alama Mkuu Sumba-Wanga!! Tatizo ni kua kila atakaekuja pale anakua assumed yuko single, so anakua ni wa yoyote yule.
Yaani unaweza ukaja nae wewe then akarudi na mimi!!