Dua
JF-Expert Member
- Nov 14, 2006
- 3,229
- 662
- Thread starter
- #81
English nyingi,upuuzi mtupu lipeni mafao ya watu tumechoka story zenu za kijinga jinga,tuna adhirika mtaani huku mkijiongelesha eti reliance sijui nini.
Mlie tu, Chuma kiko Ikulu sasa zile pesa mlizokuwa mnabeba kwenye sandarusi hakuna tena. Ati deni la taifa linakuwa linakuhusu nini wewe ambaye ni hoe hae ambaye huna hata pesa za kujikimu. Umekalia majungu tu.
Jinga wewe unaleta story zako za kufikirika yaani Moody's, S&P ,Fitch etc waje wa-rate credit worthness za majobless na wanakijiji wanaohitaji mikopo.Haya waambie wawa-rate AAA
Lipeni Pensheni/mafao muwe na aibu,mnafanya watu wana aibika mtaani huku mkijifanya eti sisi ni matajiri.
Upuuzi sana.
Wewe una pension gani kama si kuganga njaaa tu? Peleka majungu yako kwa ma ha nisi wenzako.