MakinikiA
JF-Expert Member
- Jun 7, 2017
- 5,011
- 6,542
KWENYE SOFA MBU, MBU WA DAR HATA FENI HAWAJALI VING'ANG'ANIZIHahaha kawaida. .. Unajivuta kwenye sofa unalala
KWENYE SOFA MBU, MBU WA DAR HATA FENI HAWAJALI VING'ANG'ANIZIHahaha kawaida. .. Unajivuta kwenye sofa unalala
NI BURUDANI KILA SIKU UNALOWANA MIKOJO NA USIPOOGA ASUBUHI UTAKUWA KITUKO KWA HILO HARUFUDogo anamwambia "baba hapa kitandani natakiwa kulala mimi na mama tu wewe katafute pa kulala",kanamwambia kwa ishara.
We jamaa ni muongo snaaa aisee na unavyonekana haujawai kuowa kabisa
Kwenye ndoa hakuna sijui baby nikumbatie ili nipate joto lako hayo yanaishia kwenye uchumba.
Mkuu nnao,tena wa kwangu hapo alipokaa ktk pic No3 alikuwa akishaamka kama hivyo ananitoboa toboa machoni ili niamke tuanze kucheza.wakati mwingine ni raha ikizidi sana inakuwa kero ila ndiyo uzazi.We jamaa ni muongo snaaa aisee na unavyonekana haujawai kuowa kabisa
Hemu kaa kimya tuachie tuliowa tukae na raha zetu
hahaha , watoto bana ni furaha ya maishaWatoto wanajua kuvuruga ratiba, juzi nimemtimua boy chumbani kwamba ameshakua mkubwa kanijibu "baba ndio mkubwa ahame yeye mi mdogo" imebidi nimuache tu
Usipo mkuta kitandan kwako usiku ni bahatiDawa ni chumba chake na kitanda chake
Kitanda unafikiri hautatengeneza mkuu?utatengeneza but ukikaweka tu kelele mpaka mtaa wa saba na mamaye hatotaka atakwambia acha tu tulale nae nitamuhamisha akishalala,ukizubaa tu unashangaa alarm inakuamsha asubuhi huku umelowa mikojo ya dogo.
Hajawahi Lea hajuiKitanda unafikiri hautatengeneza mkuu?utatengeneza but ukikaweka tu kelele mpaka mtaa wa saba na mamaye hatotaka atakwambia acha tu tulale nae nitamuhamisha akishalala,ukizubaa tu unashangaa alarm inakuamsha asubuhi huku umelowa mikojo ya dogo na dogo mwenyewe tayari yupo macho.
Watoto wanajua kuvuruga ratiba, juzi nimemtimua boy chumbani kwamba ameshakua mkubwa kanijibu "baba ndio mkubwa ahame yeye mi mdogo" imebidi nimuache tu
Ha ha ha kwa hilo alinizidi ujanja imebidi nimuache tu alale japo uhuru hakuna, akiona paja mama jifunike, ukikaa hivi mama hujajifunika vizuri aseeeeHahaha..! Nimempenda bure mwambie anywe yogurt nakuja kulipa dah