- Thread starter
- #121
Uda!!!Duh Marytina nilikumiss kweli we mdada! Huishi vituko kwa kweli, yaani nilipoona tu thread yako mhhh nimecheka sana. Kila la heri.....kwi kwi kwi
hiyo sura yako nashukuru mimi si mwanaume ningekuwa naweweseka juu yako
Uda!!!Duh Marytina nilikumiss kweli we mdada! Huishi vituko kwa kweli, yaani nilipoona tu thread yako mhhh nimecheka sana. Kila la heri.....kwi kwi kwi
Kuna mbinu nyingi za kuiba....but yako is too risk!!unaona raha mdogo wangu anapopigwa virungu akiandamana kwenda LOAN BOARD???
HAPA HATA WEWE UNATAMANI KUIBA