- Thread starter
- #41
nilishaainisha tokea mwanzoni kuwa SITOMTOSA Mmassai wangu in any way labda yeye anitoseKumbe yule mchaga ulikuja kumtosa? Otherwise, wala usingekuwa unayafikiria haya ya kuiba.
Mchagaa was just trying to buy me!!!!!!!!!lol
nilishaainisha tokea mwanzoni kuwa SITOMTOSA Mmassai wangu in any way labda yeye anitoseKumbe yule mchaga ulikuja kumtosa? Otherwise, wala usingekuwa unayafikiria haya ya kuiba.
yaan wewe nataman ungekuwa bf wangu
max naweza iba 400,000 mara tatu i.e 1200,000 U$kwani max unaweza kuchukua sh ngapi? maana kuna watu wameiba 30 m juzi na wakashikwa walikuwa wawili halafu si upuuzi hii.m 15 si unapata buzi kabisa hapa bongo
Haijarishi kumuona ni dollar, ngapi cha msingi lazima ujuwe huyu ndio yuko nyuma ya mafanikio ya kina Rostam Aziz, kabla ya wizi wowote huyu utoa ushauri wa kisheria jinsi ya kuiba na kutumia pesa bila mkono wa sheria kukugusa.
Nafikiri umefikia wakati sasa wa kutumia akili kuingiza pesa na sio kutumia maguvu na kubebeshwa mabox tu. kumbuka huu sio wizi, hapa mjini hizi tunaziita Filmeee!!
Haijarishi kumuona ni dollar, ngapi cha msingi lazima ujuwe huyu ndio yuko nyuma ya mafanikio ya kina Rostam Aziz, kabla ya wizi wowote huyu utoa ushauri wa kisheria jinsi ya kuiba na kutumia pesa bila mkono wa sheria kukugusa.
Nafikiri umefikia wakati sasa wa kutumia akili kuingiza pesa na sio kutumia maguvu na kubebeshwa mabox tu. kumbuka huu sio wizi, hapa mjini hizi tunaziita Filmeee!!
kazi yan the higher the risk the higher the return, goooo gal.Mara nyingi wanao-take risk ndio wanaofanikiwa go on.
Asikudanganye mtu huwezi kuwa na pesa ndefu bila kurisk, na % kubwa hapa mjini wengi ya wenye mafanikio hawakosi majalada pale mahakama ya kisutu, japo hata ya wizi wa kuaminiwa!!Mara nyingi wanao-take risk ndio wanaofanikiwa go on.
baada ya kuwaeleza mawakili mbinu ntakayotumia wamenieleza uwezekano wa kufungwa ni mdogo au haupo kabisaUkiiba pesa kama hiyo unayosema Tanzania haufungwi ila usipoiba pesa ukaiba vijipesa jua Ukonga yako na utanyea debe tu.
bilioni moja na point sio huwezi piga bilioni mbili hv kwenda juu?max naweza iba 400,000 mara tatu i.e 1200,000 U$
mimi peke yangu nitamhusisha dada yangu mdogo at the end point
dada yangu alikuwa na wazo kama lako...akawasiliana na mimi kwa skype juu ya mpango huu.....nikakataa...yeye madai yake ni kwamba: hapo alipo ana uwezo wa kuiba zaidi ya billion moja...na kama akifanikisha ataziweka mbali kabisa na hata akija kukamatwa ataweka mawakili anaweza kutumia million 250 kuendeshea kesi...hata akishindwa akafungwa miaka 5 atatumikia kifungo hicho na akitoka ataweza kuishi vizuri.....leo tena naona thread kama hii hapa na wewe unataka kufanya kama dada yangu....kwa dada yangu nilikataa ...nikamfundisha njia zingine za wizi kuiba hizo pesa taratibu bila kustukiwa na hii na sasa anazitafuna sawasawa japo mpango wake wa kukwapua kwa mpigo nahisi bado upo maana kila nikiongea nae anasisitiza hilo.......
nahisi na wewe kwa sasa unahitaji namna ya kuzikwapua hizo pesa taratibu....lakini kwa mpigo unaweza usifike mbali wakakudaka.......
endelea kushangaa watoto watajakujambishaAisee!
siwezi kulala na kipande cha barafu kitandaniHata kama ni mkazi wa Dar?
kama unataka wanaume wa 'kazi', kaweke tangazo pale Majengo,toka lini wanaume wa dar wakawa watu wa kazi????
Dar ndio kila kitu...maujanja yote yanapatikana huku! Ungekuwa na kidume wa dar huo mpango wako ungekuwa umeshaufanikisha siku nyingi sana!toka lini wanaume wa dar wakawa watu wa kazi????
b unapenda kazi hizo?kama unataka wanaume wa 'kazi', kaweke tangazo pale Majengo,
Kama unataka wanaume wa kukupa 'kazi' utawapata hapa sinza kijiweni....hawana kazi, hawana majukumu, hawafikiri chochote..........wakiingia kwenye kiuno, kazi ni moja tu!! hakuna kuwahi nyumbani, hakuna habari ya watoto watakula nini, hakuna habari ya kodi ya nyumba au site panaendeleaje........wao ni kazi moja tu!!!
wasiposoma nikiwa jela haitaniuma kiivyo kama wasiposoma nikiwa nafungia u$ 400 @daytumia ujanja...kuzipiga zote kwa pamoja lazima itakucost! utawasababishia hao watoto hata wasisome kabisa!!
Wanaume wa Dar hawalali.............kama unatafuta wa kulala nae, basi huyo BF wako atakufaa, wengine huwa kulala ni kosa..........ni shughuli iliyokuleta tu mpaka liamba!!siwezi kulala na kipande cha barafu kitandani