@arusha,mama mchagga,baba mngoni.
heri ya mwaka mpya wana JF
Ikumbukwe nina elimu ya kuungaunga, kwa hiyo haitatokea niwe bosi
...sina hulka ya wizi/ujambazi.Hapa ofisini nina take home ya 520000/= , hii kampuni huwa na NOT BELOW dola U$400,000 kama makusayo in a single day, ni wakwepa kodi sana kwa hiyo tuna namna yetu ya kurekodi figure za chini sana..
bosi mkuu katokea kuniamini, Naweza kuziiba kwa KUONDOKA NAZO KWENYE MKOBA WANGU na wakashtuka baada ya siku mbili kuwa kuna upungufu.
Nimeongea na mawakili wanne kutoka Law firm tofauti kuhusu adhabu ya kihasibu nayoweza kupata kutokana na upotevu huo, ni miaka isiyozidi miwili.Boyfriend wangu yupo ubelgiji masomoni nimemweleza MPANGO WANGU KANIKATALIA
Wana JF!!
1.hivi Marytina ntavumilia kuona wadogo zangu wakipokea virungu kisa wanaandamana kudai fedha BODO YA MIKOPO MPAKA LINI??
2.Sihitaji official ruhusa kutoka kwa BF I AM JUST LETTING HIM TO KNOW JUU YA MPANGO WANGU pasipo yeye kuweka neno
3.Kwa mshahara wangu lini ntapata hiyo hela???mimi sitaki watoto wangu waje kukulia kwenye umaskini iwe hata kwa kukaa jela kwa muda
heri ya mwaka mpya wana JF
Ikumbukwe nina elimu ya kuungaunga, kwa hiyo haitatokea niwe bosi
...sina hulka ya wizi/ujambazi.Hapa ofisini nina take home ya 520000/= , hii kampuni huwa na NOT BELOW dola U$400,000 kama makusayo in a single day, ni wakwepa kodi sana kwa hiyo tuna namna yetu ya kurekodi figure za chini sana..
bosi mkuu katokea kuniamini, Naweza kuziiba kwa KUONDOKA NAZO KWENYE MKOBA WANGU na wakashtuka baada ya siku mbili kuwa kuna upungufu.
Nimeongea na mawakili wanne kutoka Law firm tofauti kuhusu adhabu ya kihasibu nayoweza kupata kutokana na upotevu huo, ni miaka isiyozidi miwili.Boyfriend wangu yupo ubelgiji masomoni nimemweleza MPANGO WANGU KANIKATALIA
Wana JF!!
1.hivi Marytina ntavumilia kuona wadogo zangu wakipokea virungu kisa wanaandamana kudai fedha BODO YA MIKOPO MPAKA LINI??
2.Sihitaji official ruhusa kutoka kwa BF I AM JUST LETTING HIM TO KNOW JUU YA MPANGO WANGU pasipo yeye kuweka neno
3.Kwa mshahara wangu lini ntapata hiyo hela???mimi sitaki watoto wangu waje kukulia kwenye umaskini iwe hata kwa kukaa jela kwa muda