TIASSA
JF-Expert Member
- Jun 17, 2014
- 2,893
- 3,423
Habari wakuu,
Naomba kuuliza gesi ya Songosongo ya tokea enzi za Mwalimu.
1. Iliishia wapi? Mbona sikuwahi kusikia hata siku moja ikiongelewa?
2. Hii gesi ilikuwa ikitumikaje?
3. Je, gesi ya Songo Songo na ya Mtwara zinatofauti gani.? Kwa maana ya aina ya gesi.
Asante.
Naomba kuuliza gesi ya Songosongo ya tokea enzi za Mwalimu.
1. Iliishia wapi? Mbona sikuwahi kusikia hata siku moja ikiongelewa?
2. Hii gesi ilikuwa ikitumikaje?
3. Je, gesi ya Songo Songo na ya Mtwara zinatofauti gani.? Kwa maana ya aina ya gesi.
Asante.