Hamna kawaida tyu mbn mikoani hiyo bei niyasiku zote kumbe dar walikuwa na maisha mepesi hivyoWanachojua wao ni kuongeza gharama za maisha na kupandisha kodi. Yani ni kodi!kodi!kodi!kodi! Ipo kazi, tuliipenda wenyewe.
Pongezi ziifikie serikali ya CCM kwa jinsi ilivyo na uwezo wa kukandamiza maisha ya Watanzania lakini inawazuga na wanabaki kuisifia na kuipongeza. Hongera sana CCM kwa ulaghai uliotukuka.ccm mbele kwa mbele...
So unaona wivu?Hamna kawaida tyu mbn mikoani hiyo bei niyasiku zote kumbe dar walikuwa na maisha mepesi hivyo
TAIFA GESI IMEFIA WAPI?
Bei ya gesi za majumbani (LPG) yapanda mara dufu
Mtungi mdogo, 6kg: Kutoka TZS 19000/- hadi TZS 22000/-
Mtungi wa kati, 15kg: Kutoka TZS 48000/- hadi TZS 54000/-
Mtungi mkubwa, 30kg; Kutoka TZS 75000/- hadi TZS 100500/- #MMM
Wasudan hawakusubiri kusemewa na mbunge, walilianzisha wananchi wenyewe, hao wabunge, wanaharakati na wanajeshi waliwakuta mbele ya safari.Sudan Bei ya Mkate ilipanda , Bashir akapoteza Madaraka na leo huyo wanampeleka ICC.
Tatizo la kwetu hapa Tanzania, hakuna wa kuwasemea Wananchi ,kila Mbunge yupo busy kuwaza Uchaguzi.
Tafuteni hela jaman ukiwa na hela huwez kulia lia kihusu cjui kupandishwa bei za gas,but hzo zilizopanda watu wa mikoani ndo bei zao za kila ck so tatizo ni dar nahisi
Sent using Jamii Forums mobile app
TAIFA GESI IMEFIA WAPI?
Bei ya gesi za majumbani (LPG) yapanda mara dufu
Mtungi mdogo, 6kg: Kutoka TZS 19000/- hadi TZS 22000/-
Mtungi wa kati, 15kg: Kutoka TZS 48000/- hadi TZS 54000/-
Mtungi mkubwa, 30kg; Kutoka TZS 75000/- hadi TZS 100500/- #MMM
Sudan Bei ya Mkate ilipanda , Bashir akapoteza Madaraka na leo huyo wanampeleka ICC.
Tatizo la kwetu hapa Tanzania, hakuna wa kuwasemea Wananchi ,kila Mbunge yupo busy kuwaza Uchaguzi.
Tuendelee kulalamika kwenye keyboard
Kweli wewe ndo hujitambui hataKupanda na kushuka bei kwa bidhaa ni jambo la kawaida kabisa uzalishaji ukizidiwa na mahitaji tegemea bei kupanda na kinyume chake.
Siku bei ya gesi ikishuka ulete Uzi pia kutujuza kushuka kwakwe
Hivi ile sukari inayopandaga ilishawahi kushuka hadi 400 kama ilivyokua???Kupanda na kushuka bei kwa bidhaa ni jambo la kawaida kabisa uzalishaji ukizidiwa na mahitaji tegemea bei kupanda na kinyume chake.
Siku bei ya gesi ikishuka ulete Uzi pia kutujuza kushuka kwakwe