pmwasyoke
JF-Expert Member
- May 27, 2010
- 4,590
- 2,976
Kuna kijana - wa umri wa A level hivi - ana tatizo la kiafya linalomkera sana na kumfanya hata kusoma darasani imnyanyase sana. Gesi nyingi hutengenezeka tumboni na mbaya zaidi inajitokea inavyotaka makalioni bila control.
Wadau naomba yeyote mwenye ushauri kuhusu kushughulikia hali hii asaidie. Kaishafika hospitali kadhaa lakini mafanikio bado.
Wadau naomba yeyote mwenye ushauri kuhusu kushughulikia hali hii asaidie. Kaishafika hospitali kadhaa lakini mafanikio bado.