THE BIG SHOW
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 16,143
- 12,542
Hii iwafikie wale wote wanaokuja kwa lugha za kejeli na matusi ya kila aina,
Wapo wanasema kwa kejeli kwamba INATOKA AU HAITOKI??,,mbona mmegeleza na sasa inatoka??
Wapo wanaosema ya kwamba CCM imeeleweka na wanakusini wamesalit amri kwao,hilo tunaliona na kuliskia,
Wapo wanaosema kwamba kwa kichapo cha JWTZ na kununulika kwa baadhi ya wale waliokawa wana advocate violence ndio kumepelekea hali hiyo ya ukimya wa hali ya juu na kadhalika,yapo mengi sana yanasemwa,mengi yao yakiwemo ni matusi na kejeli,
Wapo wanaodhani ya kwamba wengine tulikuwa tunatumia suala la gesi bila kuwa na maono au kwa kutafuta umaarufu..!!Eti kutafuta umaarufu..!!,,sasa umaarufu unatafutwa JF??TENA KWA ID ILIYOJIFICHA NYUMA YA KEYBOARD??,,vichekesho..,ila pamoja na hayo na mengineyo mengi,sisi kama wanakusini tunajua tunachokisimamia.
1.Ajenda ya Gesi tokea awali tunasema wazi kabisa haikuwa na haiwez kuwa ni ajenda ya kisisiasa,tokea kuanza kwa harakati hizi jambo hili liliwekwa wazi kwa kuwaonya wanasiasa wasije kuidandia hoja hii kwa maslahi na manufaa yao ya kisiasa na kutafuta umaarufu,
Misimamo yetu ilikuwa wazi kabisa gesi kwanza siasa baadae,gesi kwanza vyma baadae,gesi kwa maslahi ya taifa na kadhalika.
2.Ajenda ya gesi haikuwa na haiwez kuwa ni ajenda ya kikanda na kikabila,ikumbukwe kwamba wana kusini walipokawa na wanapokuwa wanapigania ajenda hii,hawapiganii kwa maslahi ya kusini pekee au maslahi ya makabila yao,wanapigania ajenda hii kwa maslahi ya kitaifa ili madudu yaliyofanywa kwenye rasilimali zingine yasijirudie katika rasilimali gesi ili taifa kwa ujumla lione na lipate kunufaika kwa kizazi hiki na cha baadae,kila mtu ni shahid namna ambavyo CCM na baadhi yao walivoliingiza taifa hili kwenye mikataba mibovu huko nyuma katika rasilimali mbali mbali.
3.Katika Ajenda gesi tuliona muuunganyiko wa vikundi mbali mbali,vya wanaharakati wa asasi za kirai kama sisi,madhehebu mbali mbali ya dini,tuliona shura ya maimamu,na jumuiya za makanisa ya pentekoste na jumuiya mbali mbali za iman hiyo kuungana pamoja na kutoa misimamo yao,tumeona makundi ya wazee,wanawake,vijana na watoto katika ajenda ile,hiyo yote na kuwathibitishia kwamba ni ajenda iliyochukua utaifa.
Kama hiyo haitoshi,wana kusini katika harakati zetu tulikuwa hatuandamani au hatugomi bila sababu maalum,au tulikuwa hatugomi kwa ajili ya ushawish wa wanasiasa kwa maslahi ya matumbo yao,tulikuwa tunagoma kwa maslahi ya taifa ndio kwa maana mmeona hadi watu wa jinsia na dini mbali mbali wamepoteza uhai na mali zao,HIYO NI KWA MASLAHI YA TAIFA HILI KWA UJUMLA.
Ilifikia kipindi hadi serikali ilishindwa na kuamua ku-deploy jesho kuja kupambana na wananchi wa kusini,hiyo ni kuonesha ni kwa namna gani wana kusin walivyo imara na walivyojitoa katika kupigania rasilimali kwa maslahi ya taifa..
Mimi si msemaji wa watu wa kusini,mimi ni miongoni mwa wana kusini ambae ni mkereketwa na hali ya kusini na UOZO WA SERIKALI YA CCM ULIOUFANYA KWA WANAKUSINI KWA MIAKA MINGI KWA KUWA WANAKUSINI WENYEWE WALIAMUA EITHER KWA KUONGOPEWA AU KULAGHAIWA,WALIAMUA KUWAPA CCM NAFASI YA KWANZA,HUKU CCM IKIWAPA WANA KUSINI NAFASI YA MWISHO,LAKINI HILO KWA SASA KILA MWANA KUSINI ANAJUA MCHAWI WAKE NI WANASIASA KAMA HAWA CCM,NA SIYO CCM PEKEE,WANAKUSINI KWA SASA HAWANA IMAN NA WANASIASA,IMAN PEKEE YA WANA KUSINI IMEBAKIA KWAO WAO WENYEWE NAFSINI MWAO,HAKUNA WANAEMUAMIN ISIPOKUWA WAO WENYEWE,NA KUSINI ITAPIGANIWA NA WANAKUSINI WENYEWE,
Sasa wale wanaosema kwamba wengine sijui tumenunuliwa,wengine tumepigwa thats why tupo kimya,wengine wale wanaokejeli na kadhalika,
JIBU NI KWAMBA;
Hoja zetu zimeshasikika kwa serikali na taifa kwa ujumla.ilifikia hadi kuundwa kwa kamati teule ya bunge kuja kuwaskilza wanakusini maoni yao na madai yao na kuyapeleka serikalini,
Sisi wanakusini sio wapuuz wa maandamano yasiyo na tija,hatuwez kuwa wapuuz tuache kufanya shughuli zetu na kushinda kwenye maandamano ambayo hoja zetu zimeshasikika na kuifanya kusini yetu isiwe ni sehemu njema ya kuish kama huko arusha,
Sisi tulichokifanya ni kupiga kimya na kuangalia utekelezaji wa yale tuliyoyainisha,wakikiuka kwan kuna tatizo??hiii miundombinu ya mabomba ya ges si ipo??kwan inapita angani hii??kwan wanaweza kuweka walinz miaka yote na njia yote from mtwara to dsm??
Wakituhujumu na sisi tutahujumu,its very simple,
Tumekaa kimya kuangalia kwa umakini nini watakifanya na nin plan yao,muda huu ndio unakwenda,2014 ndio hii inaingia zipo namna nyingi za kuiadhibu CCM na serikali yake kwa kuanzia kwenye sanduku la kura hadi mtaani,na wakae wakitambua kwamba watu hawajaamua kukaa kimya eti kwa sababu ya JWTZ,wameamua kukaa kimya kuangalia utekelezaji kwani kama SHIDA TUMEWAPA SHIDA SANA NA WENYEWE WANALITAMBUA HILO..
ANGALIZO,
BISHOW SIO MWANASIASA,NA SIO MWANACHAMA WA CHAMA CHOCHOTE CHA SIASA,NA HANA BEI WALA PRICE TAG,THATS WHY W ID HII INASIMAMA WIMA KILA SEHEMU NA BILA WOGA KUWATUKANA MAFISADI WA CCM NA KUWATUKANA HATA WALE WANAOJIFANYA WANA DEMOKRASIA,HUKU WAKIENDELEZA DEMOKRASIA UCHWARA YA KUENDEKEZA UDINI,UKANDA NA UKABILA.
WALE WANAODHANI YA KWAMBA SISI TUTAACHA KUWEKA UTAIFA MBELE NA KUKUMBATIA BUTI ZA WANASIASA WAJUE FIKA KWAMBA SISI HATUNA NJAA NA HATUNA CHA KUTUMAIN KWA WANA SIASA,SISI TUPO KWA AJILI YA TAIFA LETU.
SO,TUTASEMA LOLOTE LILE,ILI MRADI TUNAONA LINA MANUFAA KWA TAIFA LETU.
KUSINI ITAPIGANIWA NA WANAKUSINI WENYEWE,NA SIO WANA SIASA,AJENDA YA GESI YA KUSINI NI YA KITAIFA,NA SIYO YA KIKANDA,KIDNI NA KIKABILA,
SALAM ZIWAFIKIE MAFISADI WA CCM,INSHA ALLAH TUTAKUTANA KWENYE UCHAGUZ WA SERIKALI ZA MITAA 2014 KATIKA MAANDALIZ YA KUELEKEA 2015.,ADHABU ZITAANZAIA HAPO RASMI
Nape Nnauye Sizinga kiwatengu Nguruvi3 Ngongo Ritz EMT Mzee Mwanakijiji MSALANI BAVICHA,VIJANA WA BUKU 7 WOTE KUTOKA LUMUMBA,NA WANA JF WOTE KWA UJUMLA.
Wapo wanasema kwa kejeli kwamba INATOKA AU HAITOKI??,,mbona mmegeleza na sasa inatoka??
Wapo wanaosema ya kwamba CCM imeeleweka na wanakusini wamesalit amri kwao,hilo tunaliona na kuliskia,
Wapo wanaosema kwamba kwa kichapo cha JWTZ na kununulika kwa baadhi ya wale waliokawa wana advocate violence ndio kumepelekea hali hiyo ya ukimya wa hali ya juu na kadhalika,yapo mengi sana yanasemwa,mengi yao yakiwemo ni matusi na kejeli,
Wapo wanaodhani ya kwamba wengine tulikuwa tunatumia suala la gesi bila kuwa na maono au kwa kutafuta umaarufu..!!Eti kutafuta umaarufu..!!,,sasa umaarufu unatafutwa JF??TENA KWA ID ILIYOJIFICHA NYUMA YA KEYBOARD??,,vichekesho..,ila pamoja na hayo na mengineyo mengi,sisi kama wanakusini tunajua tunachokisimamia.
1.Ajenda ya Gesi tokea awali tunasema wazi kabisa haikuwa na haiwez kuwa ni ajenda ya kisisiasa,tokea kuanza kwa harakati hizi jambo hili liliwekwa wazi kwa kuwaonya wanasiasa wasije kuidandia hoja hii kwa maslahi na manufaa yao ya kisiasa na kutafuta umaarufu,
Misimamo yetu ilikuwa wazi kabisa gesi kwanza siasa baadae,gesi kwanza vyma baadae,gesi kwa maslahi ya taifa na kadhalika.
2.Ajenda ya gesi haikuwa na haiwez kuwa ni ajenda ya kikanda na kikabila,ikumbukwe kwamba wana kusini walipokawa na wanapokuwa wanapigania ajenda hii,hawapiganii kwa maslahi ya kusini pekee au maslahi ya makabila yao,wanapigania ajenda hii kwa maslahi ya kitaifa ili madudu yaliyofanywa kwenye rasilimali zingine yasijirudie katika rasilimali gesi ili taifa kwa ujumla lione na lipate kunufaika kwa kizazi hiki na cha baadae,kila mtu ni shahid namna ambavyo CCM na baadhi yao walivoliingiza taifa hili kwenye mikataba mibovu huko nyuma katika rasilimali mbali mbali.
3.Katika Ajenda gesi tuliona muuunganyiko wa vikundi mbali mbali,vya wanaharakati wa asasi za kirai kama sisi,madhehebu mbali mbali ya dini,tuliona shura ya maimamu,na jumuiya za makanisa ya pentekoste na jumuiya mbali mbali za iman hiyo kuungana pamoja na kutoa misimamo yao,tumeona makundi ya wazee,wanawake,vijana na watoto katika ajenda ile,hiyo yote na kuwathibitishia kwamba ni ajenda iliyochukua utaifa.
Kama hiyo haitoshi,wana kusini katika harakati zetu tulikuwa hatuandamani au hatugomi bila sababu maalum,au tulikuwa hatugomi kwa ajili ya ushawish wa wanasiasa kwa maslahi ya matumbo yao,tulikuwa tunagoma kwa maslahi ya taifa ndio kwa maana mmeona hadi watu wa jinsia na dini mbali mbali wamepoteza uhai na mali zao,HIYO NI KWA MASLAHI YA TAIFA HILI KWA UJUMLA.
Ilifikia kipindi hadi serikali ilishindwa na kuamua ku-deploy jesho kuja kupambana na wananchi wa kusini,hiyo ni kuonesha ni kwa namna gani wana kusin walivyo imara na walivyojitoa katika kupigania rasilimali kwa maslahi ya taifa..
Mimi si msemaji wa watu wa kusini,mimi ni miongoni mwa wana kusini ambae ni mkereketwa na hali ya kusini na UOZO WA SERIKALI YA CCM ULIOUFANYA KWA WANAKUSINI KWA MIAKA MINGI KWA KUWA WANAKUSINI WENYEWE WALIAMUA EITHER KWA KUONGOPEWA AU KULAGHAIWA,WALIAMUA KUWAPA CCM NAFASI YA KWANZA,HUKU CCM IKIWAPA WANA KUSINI NAFASI YA MWISHO,LAKINI HILO KWA SASA KILA MWANA KUSINI ANAJUA MCHAWI WAKE NI WANASIASA KAMA HAWA CCM,NA SIYO CCM PEKEE,WANAKUSINI KWA SASA HAWANA IMAN NA WANASIASA,IMAN PEKEE YA WANA KUSINI IMEBAKIA KWAO WAO WENYEWE NAFSINI MWAO,HAKUNA WANAEMUAMIN ISIPOKUWA WAO WENYEWE,NA KUSINI ITAPIGANIWA NA WANAKUSINI WENYEWE,
Sasa wale wanaosema kwamba wengine sijui tumenunuliwa,wengine tumepigwa thats why tupo kimya,wengine wale wanaokejeli na kadhalika,
JIBU NI KWAMBA;
Hoja zetu zimeshasikika kwa serikali na taifa kwa ujumla.ilifikia hadi kuundwa kwa kamati teule ya bunge kuja kuwaskilza wanakusini maoni yao na madai yao na kuyapeleka serikalini,
Sisi wanakusini sio wapuuz wa maandamano yasiyo na tija,hatuwez kuwa wapuuz tuache kufanya shughuli zetu na kushinda kwenye maandamano ambayo hoja zetu zimeshasikika na kuifanya kusini yetu isiwe ni sehemu njema ya kuish kama huko arusha,
Sisi tulichokifanya ni kupiga kimya na kuangalia utekelezaji wa yale tuliyoyainisha,wakikiuka kwan kuna tatizo??hiii miundombinu ya mabomba ya ges si ipo??kwan inapita angani hii??kwan wanaweza kuweka walinz miaka yote na njia yote from mtwara to dsm??
Wakituhujumu na sisi tutahujumu,its very simple,
Tumekaa kimya kuangalia kwa umakini nini watakifanya na nin plan yao,muda huu ndio unakwenda,2014 ndio hii inaingia zipo namna nyingi za kuiadhibu CCM na serikali yake kwa kuanzia kwenye sanduku la kura hadi mtaani,na wakae wakitambua kwamba watu hawajaamua kukaa kimya eti kwa sababu ya JWTZ,wameamua kukaa kimya kuangalia utekelezaji kwani kama SHIDA TUMEWAPA SHIDA SANA NA WENYEWE WANALITAMBUA HILO..
ANGALIZO,
BISHOW SIO MWANASIASA,NA SIO MWANACHAMA WA CHAMA CHOCHOTE CHA SIASA,NA HANA BEI WALA PRICE TAG,THATS WHY W ID HII INASIMAMA WIMA KILA SEHEMU NA BILA WOGA KUWATUKANA MAFISADI WA CCM NA KUWATUKANA HATA WALE WANAOJIFANYA WANA DEMOKRASIA,HUKU WAKIENDELEZA DEMOKRASIA UCHWARA YA KUENDEKEZA UDINI,UKANDA NA UKABILA.
WALE WANAODHANI YA KWAMBA SISI TUTAACHA KUWEKA UTAIFA MBELE NA KUKUMBATIA BUTI ZA WANASIASA WAJUE FIKA KWAMBA SISI HATUNA NJAA NA HATUNA CHA KUTUMAIN KWA WANA SIASA,SISI TUPO KWA AJILI YA TAIFA LETU.
SO,TUTASEMA LOLOTE LILE,ILI MRADI TUNAONA LINA MANUFAA KWA TAIFA LETU.
KUSINI ITAPIGANIWA NA WANAKUSINI WENYEWE,NA SIO WANA SIASA,AJENDA YA GESI YA KUSINI NI YA KITAIFA,NA SIYO YA KIKANDA,KIDNI NA KIKABILA,
SALAM ZIWAFIKIE MAFISADI WA CCM,INSHA ALLAH TUTAKUTANA KWENYE UCHAGUZ WA SERIKALI ZA MITAA 2014 KATIKA MAANDALIZ YA KUELEKEA 2015.,ADHABU ZITAANZAIA HAPO RASMI
Nape Nnauye Sizinga kiwatengu Nguruvi3 Ngongo Ritz EMT Mzee Mwanakijiji MSALANI BAVICHA,VIJANA WA BUKU 7 WOTE KUTOKA LUMUMBA,NA WANA JF WOTE KWA UJUMLA.