Ni upepo tu!
Mwenzenu ndo kaenda kupatana bei ya kuiuza hiyo gesi huko Ufaransa, halafu akishapewa hizo hela ataenda kuzificha uswiz na bada ya hapo atakwenda Canada kujipongeza na kucheza na vigari vinavyoendeshwa na farasi
View attachment 80050
Simple! Kwasababu ni Bagamoyo.Kila kitu Bagamoyo kwanini???!!!!