valuablecock
JF-Expert Member
- Mar 28, 2013
- 783
- 801
Sidhani kama mpiga push ups anakumbuka ahadi zake.Yupo busy na uzinduzi wa viwanda.Hivi yule jamaa wa Muleba alisema vyerehani vingapi vinatosha kuwa kiwanda??Wakati wa kampeni tuligakikishiwa gesi haitapanda bei