Gesi asili: Is it "day light robbery?" Watanzania tunaibiwa mchana kweupe!

kweli nimetembea nchi zote zakiarabu, zinazotoa mafuta na gesi, sijaona nchi ambayo rasilimali hizo zikimilikiwa na makampuni, mtu binafsi au wawekezaji, zote ni mali ya serikali na yapo makampuni ya uchimbaji yalioingia mkataba na serikali lakini sio kugawa vitalu wala kumiliki hizo rasilimali, sisi ni wa kukosa milele..
 
Mkuu Pasco nashangaa hii mada ilinipitaje.

Ila kazi ipo... I am hopeful maana naona ndiyo maana Mzee Mengi aligomabana Muhongo kwa nguvu zote...

Ndo maana ile sheria ilipitishwa haraka haraka kabla ya bunge kumaliza muda wake!!!

Kuna umuhimu wa kurudisha Azimio la Arusha: Sioni jinsi yeyote ya kuokoa maliasili yetu hasa zaidi gesi kwa sheria tulizonazo sasa!!

I am hope ful with ENL + UKAWA.
 
Last edited by a moderator:
Watanzania!!!

Kuna kitu kinaitwa surface ownership. Kipo hata MAREKANI.

Sasa surface owner kama hana rights za ownership of mineral underlying their property, ndio mnafikishana hapo mlipo fika. Nyie si mna WABUNGE, SASA KAZI YAO NI NINI? Ni kupiga kelele tu CCM wabaya, lakini hawajui Dunia inaendaje. Please people. Google :Surface Owner: Mkisha pata Wafundishe WABUNGE WENU MNAO WASIFIA KWA KUWAITA MAJEMBE KWENYE CENTURY YA COMPUTER TECH.

Schiendler

Hivi wabunge wanaotokea bongo movie wanaweza kujadili masuala mazito kama hili la gesi?

Mimi naamini kuwa bunge letu limejaa mbumbumbu ndio maana hata mambo yenye maslahi kwa taifa yanachukuliwa kimzaha mzaha.
 
pasco unadhani kwa nini opinion za wengi zinaonyesha kuichoka ccm?sababu ni hizi hizi.ccm haijali maslahi ya nchi,ccm inaogopa wawekezaji badala ya sisi wapiga kura.hata lowassa akishika madaraka hataweza kwenda kinyume na sera za ccm.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
Kumbe na wewe unayajua haya??? then kwanini unajitoa ufahamu na CCM? ni maslahi binafsi au ninin? ewe mtanzania mwenzangu amka angalia yanayoendelea hapa kwetu then tumia akili yako ipasavyo!!! naamini sio kila siku wewe ni jingalao amka fanya mabadiliko.
 
Last edited by a moderator:
Wanabodi,

Nimekutana na hii kitu, nimeisoma, sio tuu nimeshangaa, bali nimechoka, imeniacha hoi, mtu unaweza kupata wazimu, ukikamata SMG, unaweza kuwamiminia risasi Watanzania wenzetu wanauiuza nchi yetu na maliasili zake kwa bei ya bure kwa wageni kwa jina la wawekezaji kwa kisingizio kuwa sisi hatuna uwezo wa kuwekeza!.

Kumbe na kwenye gesi asili, Watanzania tunaendelea kuibiwa mchana kweupe!. Hatuna Sera, Hatuna Sheria, na bado tunashadadia kugawa vitalu!. Hii ni "day light Robbery!"

Hebu soma hapa chini!.

After studying the experience from other countries, the following lessons were learnt:
  • Location of LNG Plant &[HASHTAG]#8211[/HASHTAG]; should be constructed on land (not floating LNG
on sea)
  • Reasons: Mainly for monitoring and control purposes &[HASHTAG]#8211[/HASHTAG]; monitoring is challenging because of lack of technology and control means
  • There should be only one plant.
  • The GoT/Tanzanians/Public should have majority shares to the entire
Infrastructure say not less than 51% &[HASHTAG]#8211[/HASHTAG]; to have authority say and decision
making for the benefit of the country. It may be on PPP model.
  • The proposed land for construction of LNG and other industries utilizing natural gas should be owned by the government. Facilities like roads, water and electricity should be put by GOT and appropriate tariff should be determined for the government.
  1. KWA GESI ALIYOTUJALIA MWENYEZI MUNGU, TUKIJIPANGA VIZURI, TUTAPATA MAENDELEO MAKUBWA KULIKO AMA KAMA SOUTH AFRICA.
  2. MAKAMPUNI MAKUBWA YA UTAFUTAJI WA MAFUTA NA GESI YANAELEWA NA YANATAKA TUBAKI KWENYE HALI YA KUTOELEWA HALI YA BIASHARA YA GESI. YANATULAGHAI KWA NJIA YA UZOEFU NA WALIONAO.
  3. GAS HATA KAMA IKO CHINI YA BAHARI AU CHINI YA ARIDHI NI MALI YETU NA INAYO VALUE YAKE NA SIO MWENYE UWEZO WA KUITOA ARIDHINI BASI NDIE MWENYE GAS DARWIN THIORY ISITUMIKE KWA MALIASILI YA NCHI YETU.
MY TAKE!.
1. Kumbe gesi yote inayovunwa nchini sasa na itakayoendelea kuvunwa miaka ijayo, siyo yetu!, ni ya mwekezaji!.

2. Eti gesi hiyo haina thamani yoyote kwetu huko chini ardhini ilipo, na wala sio mali yetu!, bali ni mali ya mwekezaji anayeichimba na sisi tunauziwa kwa bei ya soko, na faida yote ni ya mwekezaji anayechimba, ila taifa litafaidika na kodi!.

Nimeshindwa kuendelea kwa sasa kutokana na hasira!.

Mungu Ibariki Tanzania!.

Paskali
Kitendo cha rais Magufuli kupiga marufuku kusafirishwa kwa mchanga wa dhahabu, kiukweli tulikuwa tunaibiwa sana. Tukishindwa kuisafishia nchini, wawekezaji hao wafungashe na kuondoka zao, tutachimba na kusafisha wenyewe.

Tumekuja kugundua when it's too late, ila kwenye gesi nako tunaibiwa!. Rais Magufuli ziangazie hizo PSA 24 zilizosha sainiwa, ni wizi mtupu! . Kama vipi nao wafungashe tutajenga uwezo tuje tuichimbe gesi yetu wenyewe na faida yote iwe yetu.

Paskali
 
Kitendo cha rais Magufuli kupiga marufuku kusafirishwa kwa mchanga wa dhahabu, kiukweli tulikuwa tunaibiwa sana. Tukishindwa kuisafishia nchini, wawekezaji hao wafungashe na kuondoka zao, tutachimba na kusafisha wenyewe.

Tumekuja kugundua when it's too late, ila kwenye gesi nako tunaibiwa!. Rais Magufuli ziangazie hizo PSA 24 zilizosha sainiwa, ni wizi mtupu! . Kama vipi nao wafungashe tutajenga uwezo tuje tuichimbe gesi yetu wenyewe na faida yote iwe yetu.

Paskali
Maajabu ya Tanzania: kumbe bomba la gesi linatumika kwa 6% tu na 94% halina kazi. tupimwe akili jmn

UFISADI katika Mradi wa Bomba la Gesi: Serikali imechakachua bei(?)

Huku ndiko kwenye ufisadi mkubwa unaitwa "The Grand Corruptions". Tumuombe Rais Magufuli akimaliza ya Mchanga wa dhahabu ageukie gesi asili ambako nako tunaibiwa mchana kweupe.

Paskali
 
Maajabu ya Tanzania: kumbe bomba la gesi linatumika kwa 6% tu na 94% halina kazi. tupimwe akili jmn

UFISADI katika Mradi wa Bomba la Gesi: Serikali imechakachua bei(?)

Huku ndiko kwenye ufisadi mkubwa unaitwa "The Grand Corruptions". Tumuombe Rais Magufuli akimaliza ya Mchanga wa dhahabu ageukie gesi asili ambako nako tunaibiwa mchana kweupe.

Paskali
Nchi hii ilikuwa inaenda shimoni. Wizi kila upande....tena wizi mtupu. Mpaka kwa wale waliopenda kujiuza kama wazalendo...watanashati
 
Wanabodi,

Nimekutana na hii kitu, nimeisoma, sio tuu nimeshangaa, bali nimechoka, imeniacha hoi, mtu unaweza kupata wazimu, ukikamata SMG, unaweza kuwamiminia risasi Watanzania wenzetu wanauiuza nchi yetu na maliasili zake kwa be
i ya bure kwa wageni kwa jina la wawekezaji kwa kisingizio kuwa sisi hatuna uwezo wa kuwekeza!.

Kumbe na kwenye gesi asili, Watanzania tunaendelea kuibiwa mchana kweupe!. Hatun
a Sera, Hatuna Sheria, na bado tunashadadia kugawa vitalu!. Hii ni "day light Robbery!"

Hebu soma hapa chini!.

After studying the experience from other countries, the following lessons were learnt:
  • Location of LNG Plant &[HASHTAG]#8211[/HASHTAG]; should be constructed on land (not floating LNG
on sea)
  • Reasons: Mainly for monitoring and control purposes &[HASHTAG]#8211[/HASHTAG]; monitoring is challenging because of lack of technology and control means
  • There should be only one plant.
  • The GoT/Tanzanians/Public should have majority shares to the entire
Infrastructure say not less than 51% &[HASHTAG]#8211[/HASHTAG]; to have authority say and decision
making for the benefit of the country. It may be on PPP model.
  • The proposed land for construction of LNG and other industries utilizing natural gas should be owned by the government. Facilities like roads, water and electricity should be put by GOT and appropriate tariff should be determined for the government.
  1. KWA GESI ALIYOTUJALIA MWENYEZI MUNGU, TUKIJIPANGA VIZURI, TUTAPATA MAENDELEO MAKUBWA KULIKO AMA KAMA SOUTH AFRICA.
  2. MAKAMPUNI MAKUBWA YA UTAFUTAJI WA MAFUTA NA GESI YANAELEWA NA YANATAKA TUBAKI KWENYE HALI YA KUTOELEWA HALI YA BIASHARA YA GESI. YANATULAGHAI KWA NJIA YA UZOEFU NA WALIONAO.
  3. GAS HATA KAMA IKO CHINI YA BAHARI AU CHINI YA ARIDHI NI MALI YETU NA INAYO VALUE YAKE NA SIO MWENYE UWEZO WA KUITOA ARIDHINI BASI NDIE MWENYE GAS DARWIN THIORY ISITUMIKE KWA MALIASILI YA NCHI YETU.
MY TAKE!.
1. Kumbe gesi yote inayovunwa nchini sasa na itakayoendelea kuvunwa miaka ijayo, siyo yetu!, ni ya mwekezaji!.

2. Eti gesi hiyo haina thamani yoyote kwetu huko chini ardhini ilipo, na wala sio mali yetu!, bali ni mali ya mwekezaji anayeichimba na sisi tunauziwa kwa bei ya soko, na faida yote ni ya mwekezaji anayechimba, ila taifa litafaidika na kodi!.

Nimeshindwa kuendelea kwa sasa kutokana na hasira!.

Mungu Ibariki Tanzania!.

Paskali

Pascal

waambie Chadema na upinzani kwa ujumla waache ujinga wa kutupotezea muda kuongelea habari ya bashite na Roma na wajikite kuishinikiza serikali itoe majibu juu ya hii hoja yako.
 
Wanabodi
Kumbe na kwenye gesi asili, Watanzania tunaendelea kuibiwa mchana kweupe!. Hatuna Sera, Hatuna Sheria, na bado tunashadadia kugawa vitalu!. Hii ni "day light Robbery!.
MY TAKE!.
1. Kumbe gesi yote inayovunwa nchini sasa na itakayoendelea kuvunwa miaka ijayo, siyo yetu!, ni ya mwekezaji!.

2. Eti gesi hiyo haina thamani yoyote kwetu huko chini ardhini ilipo, na wala sio mali yetu!, bali ni mali ya mwekezaji anayeichimba na sisi tunauziwa kwa bei ya soko, na faida yote ni ya mwekezaji anayechimba, ila taifa litafaidika na kodi!.

Nimeshindwa kuendelea kwa sasa kutokana na hasira!.

Mungu Ibariki Tanzania!.

Paskali
  • Serikari (Raisi John Magufuli) na vyombo vya ulinzi na usalama wasipochukua hatua kali siku si nyingi pwani ya nchi yetu itakuwa haikaliki.
Mkuu Aotomata, sorry I'd like to differ kwa sababu Pwani ya nchi yetu ni very safe due to neema ya gesi asili, mwanzo JWTZ walitumika ku escort meli dhidi ya uharamia lakini ugunduzi wa gesi asili umetuletea neema za ulinzi, makampuni makubwa ya gesi yametoa kondarasi za ulinzi kwa makampuni ya kimataifa ya kimataifa ya ulinzi hivyo pwani yetu is very safe, ila pia Tanzania lazima tuwe tayari to take the bitter with the sweet, sio tuu, hatuna uwezo (the capacity) ya kuilinda mipaka yetu kwenye bahari kuu, pia hatuna uwezo ku monitor anything under sea.

Tunaweza ku monitor anga letu kwa radar na juu ya bahari kwa Navy wetu lakini hatuna uwezo wowote ku monitor undersea kwa sababu hatuna submarine radar, unless tunazo ila ni siri za jeshi!.

Sasa kutoweza kuilinda mipaka ya high
seas kunapelekea mimeli mikubwa inaweza kuja na kutia nanga kwenye adjacent international waters na kuzamisha mipira hata urefu wa 1km long na kujikombea gesi yetu kwa mtindo wa siphoning.

Paskali
 
Back
Top Bottom