mchekanapori
Member
- Aug 3, 2012
- 50
- 51
kweli nimetembea nchi zote zakiarabu, zinazotoa mafuta na gesi, sijaona nchi ambayo rasilimali hizo zikimilikiwa na makampuni, mtu binafsi au wawekezaji, zote ni mali ya serikali na yapo makampuni ya uchimbaji yalioingia mkataba na serikali lakini sio kugawa vitalu wala kumiliki hizo rasilimali, sisi ni wa kukosa milele..