chilonge
JF-Expert Member
- Dec 23, 2014
- 1,215
- 2,040
Wengi hawaangalii mabadiliko ya timu.Kipindi cha kwanza dynamo walifanikiwa kurudi mchezoni lakini baada ya kuingia gerson simba ikarudi kwenye ubora kumbuka kuna wachezaji muhimu lakini huwa hawaonekani uwanjani mfano muzamir yassin
Shiboub yupo fit ila jana moto ulikata. Box to box midfielder inahitajika uwe na mapafu ya mbwa mithili ya kina Michael Essien.
Naamini Prof Ausseum ameliona hilo na atalifanyia kazi. Shiboub atakuwa mcharo zaidi kwenye mechi zijazo.