Gerson Msigwa: Rais ameagiza kufunguliwa kwa Online TV tu na sio Vyombo vingine vya Habari

Furaha ya watanzania imezimika ghafla kwa sababu watanzania ni mbumbumbu ambazo huwa zinaamini kuwa haki zao ni mapenzi ya mtu,yaani hadi mwenye jukumu la kutoa haki hizo awe na mapenzi ya kuzitoa.Hawana habari kuwa haki huwa haitolewi bali huchukuliwa.Imagine majitu yanasubiri maneno matamu kutoka kwa Samia badala ya kuchukua haki zao kwa nguvu.

Wenye majukumu ya kutoa haki hizo hawawezi kutoa hizo haki kwa sababu siyo jambo jema kwao,imagine waachie magazeti yaliyofungiwa halafu yaanze kuwaandika vibaya.Hata kama wewe ndiye ungekuwa Rais ungefanya kitu kama hicho?Ndiyo maana haki huwa haitolewi bali huchukuliwa kwa nguvu kwa sababu mwenye jukumu la kutoa haki hizo akitoa hizo haki ataumia yeye.Concept rahisi kiasi hiki lakini majitu hayataki kuelewa!
 
Hawa nyumbu wanashangilia kama kasuku, wasubiri pigo jingine kwenye kodi.Hakuna mtu anabambikizwa kodi bali ni sheria. Msitegemee nafuu ya kodi ni bora mfunge biashara zenu kuliko kurudi tulikotoka. MAMA YETU ataeleweshwa tu na ataona mantiki na kodi itakusanywa kama kwa. Hakuna nchi duniani inayoendeshwa bila kukusanya kodi.Poleni
we unanini cha kukusanywa mbwiga WEWE , yaani Rais hana akili kama wewe jiangalie wewe
 
Ufafanuzi unaotelewa na msemaji wa serikali hauwezi kuwa wake lazima atakua amewasiliana na mtoa kauli ilikujiridhisha.
Sasa mkimlaumu mtoa taarifa mtakua mnalaumu asiehusika kabisa yeye ni mjumbe tu sio muamuzi.

Vyama vya siasa jIkiteni kwenye kudai katiba mpya mintarafu tume huru ya uchaguzi lasihivyo baada ya uchaguzi 2025 tutasikia malalamiko yaleyale wakati sasa mmejikita kwenye kusifia na kuzungumza hoja zisizo na msingi.
Nyumbu huwa hazijui!!??
kwamba watoa kauli wana verify kwa maza....
wasivyo na akili wanajua Abbas kajiropokea tu
 
Hajawahi kuwa na akili yule jamaa kimsingi alikua anaelekezwa tu na marehemu babaake magu sio kama anajua hata anachokifanya ni nini , uliona wapi kanjanja anapewa usemaji wa Serikali lazima aonee watu tu hasa wale waliokua makanjanja wenzie ili aonekane sasa yuko juu, stupid kabisa
Mtu wa hovyo kabisa
 
Kama wakati akitangaza msiba wa mwendazake alikosea akasema maombolezo ni siku 14 akaja kurekebisha baadaye kuwa ni 21 hata hili pia atakuja kuliweka sawa tu
 
Back
Top Bottom