Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 14,407
- 2,000
Tatizo Watanzania huwa hatujipi muda kidogo, tunashangilia sana
Kwa hiyo Wahaya na Wanyakyusa pia Wajaluo wahame Nchi acha uzwazwa kila jamii ina mila na destuli zake acha kutulazimisha kufuata mila na destuli za kabila lako kupanga ni kuchagua bwasheeeee!!!!!Mtahama nyie msio tahiriwa. Mijitu mizima mna magovi ya mwilini na akilini
Aaha acha tu mkuu.. Haya nayo ni masiharaa kaziniRikiboy mambo yako ni kula tunda kumasihara huku wapi tena (jokes),
Abbas kakosea sana yaa kiufupi ameanza kupandisha mabega juu wakati huu si muda wa hayo mambo, pia watu waache kupalilia moto maana Mh Rais anaona na kusikia, hizi tabia za watz kuchongea watu ili wakose ajira hazina afya kabisa, wengi wanataka Abbas aondolewe sasa sijui akitoka wanafaidika na nini, kwanza yale si majukumu yake bali ni Msigwa
Nyumbu kwani zina akili!!???Hayasomwi tena? Si mlimshikia bango abbas afukuzwe kazi au ishu sio magazeti bali ni abbas?
Msirudie kukurupukaNimeanza kupoteza furaha niliyokuwa nayo
we unanini cha kukusanywa mbwiga WEWE , yaani Rais hana akili kama wewe jiangalie weweHawa nyumbu wanashangilia kama kasuku, wasubiri pigo jingine kwenye kodi.Hakuna mtu anabambikizwa kodi bali ni sheria. Msitegemee nafuu ya kodi ni bora mfunge biashara zenu kuliko kurudi tulikotoka. MAMA YETU ataeleweshwa tu na ataona mantiki na kodi itakusanywa kama kwa. Hakuna nchi duniani inayoendeshwa bila kukusanya kodi.Poleni
Umekamatwa!View attachment 1746013
"Msione macho yangu ya kulegea, yanaona..."
Mama kumbe ulikuwa unatudanganya..
Tulisema akifanya mazuri tunapongeza akiyakoroga tunaona ukweliUmekamatwa!
ukome kusifu usichokijua....
alafu nyie nimewaona koko sana....
badala ya kuimarisha chama chenu...mnasifia CCM !!???
Ngoja tulembue macho sote mkuu.Sukuma Gang wanaharibu nchi
Nyumbu huwa hazijui!!??Ufafanuzi unaotelewa na msemaji wa serikali hauwezi kuwa wake lazima atakua amewasiliana na mtoa kauli ilikujiridhisha.
Sasa mkimlaumu mtoa taarifa mtakua mnalaumu asiehusika kabisa yeye ni mjumbe tu sio muamuzi.
Vyama vya siasa jIkiteni kwenye kudai katiba mpya mintarafu tume huru ya uchaguzi lasihivyo baada ya uchaguzi 2025 tutasikia malalamiko yaleyale wakati sasa mmejikita kwenye kusifia na kuzungumza hoja zisizo na msingi.
Mtu wa hovyo kabisaHajawahi kuwa na akili yule jamaa kimsingi alikua anaelekezwa tu na marehemu babaake magu sio kama anajua hata anachokifanya ni nini , uliona wapi kanjanja anapewa usemaji wa Serikali lazima aonee watu tu hasa wale waliokua makanjanja wenzie ili aonekane sasa yuko juu, stupid kabisa
Abbass yupo juu yakeKilichofanyika hapa, Rais katoa maagizo.. Alafu watekelezaji wanamhariri....
Amesema Vyombo vya Habari.... Alafu Abbas anasema TV za mitandaoni tu.....
Hii kitu imenichefua sana....
Du!Mtahama nyie msio tahiriwa. Mijitu mizima mna magovi ya mwilini na akilini
Huu ndio ukweli mchunguWalichokifanya wizara ya habari ni kuniambia dunia kuwa Rais anachoongea huenda kisifanyiwe kazo
Bavicha mmeishiwa yani mnataka mawazo yenu ndio yawe ya Samia katika kuongoza nchi?Mataga pori mmepanic sana
Mataga hapa hatulazimishi Mama Samia afate maoni yetu.Bavicha mmeishiwa yani mnataka mawazo yenu ndio yawe ya Samia katika kuongoza nchi?
Kuna taarifa umeiona humu JamiiForums na haifai kubaki mtandaoni?
Fanya hivi...
Unapata ugumu kuikumbuka akaunti yako? Unakwama kuanzisha akaunti?
Contact us