Gerson Msigwa: Ndege nyingine 5 kufika kabla ya mwaka 2023, zimelipiwa keshi

Namsikiliza Gerson Msigwa ktk kipindi cha the Big Agenda anasema serikali imetoa order ya kutengenezewa ndege nyingine tano ambapo zote zitakuwa zimewasili kabla ya mwaka 2023. Ameongeza kwa kusema zimelipiwa kabisa.

View attachment 1983658

My take.
Hii nchi aliyeturoga kafa. Tuna midege tuliinunua haijawahi kuzalisha hata shilingi moja halafu bado tunaagiza midege mingine.
itakuaa ajabu nisipopanda pipa
 
Yaani unalipa kununua ndege kwa Cash leo halafu unapewa hiyo ndege baada ya mwaka. Nini mantiki ya kulipa kwa cash?
 
  • Thanks
Reactions: G4N
Kwani mtendaji mkuu wa ATCL yeye anasemaje kuhusiana na taarifa za shirika lake zilizokinzana kwenye faida na hasara?
 
  • Thanks
Reactions: G4N
Namsikiliza Gerson Msigwa katika kipindi cha the Big Agenda anasema serikali imetoa order ya kutengenezewa ndege nyingine tano ambapo zote zitakuwa zimewasili kabla ya mwaka 2023. Ameongeza kwa kusema zimelipiwa kabisa.

View attachment 1983658

My take.
Hii nchi aliyeturoga kafa. Tuna midege tuliinunua haijawahi kuzalisha hata shilingi moja halafu bado tunaagiza midege mingine.
Majumba ya popo haya.sidhani kuna bisashara yoyote
 
  • Thanks
Reactions: G4N
Shirika lilikuwa lishajifia hili hadi hapo November 2015 mwanaume aliposema kazi na ianze chapa keshi kwa keshi dabali dabali hadi fleet ya kueleweka ikaonekana. He will go down the history as the greatest ever to sit and serve in the white house.
 
Kama watu wangekua wanaangalia hivyo basi hata mashirika makubwa yandege yasingefika hapo yalipo...

Hii nchi aliyeturoga kafa. Tuna midege tuliinunua haijawahi kuzalisha hata shilingi moja halafu bado tunaagiza midege mingine.
Yaani wewe unaanza tu biashara unataka mafanikio hapo hapo, na kama ukisipo ona mafanikio unaacha biashara.

Hivi vitu vinahitaji michakato, muda ili kijipambanua ni sawa tu na kilimo huwezi kupanda Leo afu kesho tu utegemee kuvuna haiwezekani.

Kwa nchi kama Tanzania ina sifa zote stahiki za kua na shilika kubwa hapa Afrika.
 
Nyanda badala ya kumuuliza maswali ya maana ..anapiga sound tu
Nyanda amejitahidi saana kumuuliza maswali magumu japo kwakuyapoza....
HIV ungekua wewe ungesubutu hata kuomba appointment na msemaji wa serikali ya kibabe ka hii?
 
  • Thanks
Reactions: G4N
Namsikiliza Gerson Msigwa katika kipindi cha the Big Agenda anasema serikali imetoa order ya kutengenezewa ndege nyingine tano ambapo zote zitakuwa zimewasili kabla ya mwaka 2023. Ameongeza kwa kusema zimelipiwa kabisa.

View attachment 1983658

My take.
Hii nchi aliyeturoga kafa. Tuna midege tuliinunua haijawahi kuzalisha hata shilingi moja halafu bado tunaagiza midege mingine.

Ndugu mleta mada, Mambo mengine yako nje ya scope yako ya uelewa,
Ukijifanya mjuaji sana wa kila jambo you eventually end up exposing your ‘ujuha’ kama hivi.
 
Namsikiliza Gerson Msigwa katika kipindi cha the Big Agenda anasema serikali imetoa order ya kutengenezewa ndege nyingine tano ambapo zote zitakuwa zimewasili kabla ya mwaka 2023. Ameongeza kwa kusema zimelipiwa kabisa.

View attachment 1983658

My take.
Hii nchi aliyeturoga kafa. Tuna midege tuliinunua haijawahi kuzalisha hata shilingi moja halafu bado tunaagiza midege mingine.
Ndege gani hiyo haijawahi kuzalisha hata shilingi moja?
 
SO
Namsikiliza Gerson Msigwa katika kipindi cha the Big Agenda anasema serikali imetoa order ya kutengenezewa ndege nyingine tano ambapo zote zitakuwa zimewasili kabla ya mwaka 2023. Ameongeza kwa kusema zimelipiwa kabisa.

View attachment 1983658

My take.
Hii nchi aliyeturoga kafa. Tuna midege tuliinunua haijawahi kuzalisha hata shilingi moja halafu bado tunaagiza midege mingine.
WHAT??? USHAMBA NA UJINGA NI MZIGO....NDEGE KWA AJILI YA NINI????
 
Namsikiliza Gerson Msigwa katika kipindi cha the Big Agenda anasema serikali imetoa order ya kutengenezewa ndege nyingine tano ambapo zote zitakuwa zimewasili kabla ya mwaka 2023. Ameongeza kwa kusema zimelipiwa kabisa.

View attachment 1983658

My take.
Hii nchi aliyeturoga kafa. Tuna midege tuliinunua haijawahi kuzalisha hata shilingi moja halafu bado tunaagiza midege mingine.
Tutakuwa na jumla ya ngapi yakija hayo matano
 
Back
Top Bottom