Namsikiliza Gerson Msigwa katika kipindi cha the Big Agenda anasema serikali imetoa order ya kutengenezewa ndege nyingine tano ambapo zote zitakuwa zimewasili kabla ya mwaka 2023. Ameongeza kwa kusema zimelipiwa kabisa.
My take.
Hii nchi aliyeturoga kafa. Tuna midege tuliinunua haijawahi kuzalisha hata shilingi moja halafu bado tunaagiza midege mingine.
My take.
Hii nchi aliyeturoga kafa. Tuna midege tuliinunua haijawahi kuzalisha hata shilingi moja halafu bado tunaagiza midege mingine.