Gerson Msigwa ndani ya DW akieleza sababu za Rais Samia kurekodi makala ya Royal Tour

BWANKU M BWANKU

JF-Expert Member
Jan 12, 2019
327
414
Katika kipindi cha Kinagaubaga cha Idhaa ya Kiswahili ya DW cha nchini Ujerumani, Msemaji Mkuu wa Serikali Ndugu Gerson Msigwa ameeleza kiundani sababu za Rais Samia kurekodi Makala Maalum itakayoonyeshwa katika kipindi cha Royal Tour ambayo itatangaza Utalii, fursa za uwekezaji zilizopo nchini, biashara na kutangaza mazuri ya Tanzania na hali halisi ya nchi ili kutotoa mwanya kwa wanaojaribu kuichafua.

#KaziInaendelea
 
Katika kipindi cha Kinagaubaga cha Idhaa ya Kiswahili ya DW cha nchini Ujerumani, Msemaji Mkuu wa Serikali Ndugu Gerson Msigwa ameeleza kiundani sababu za Rais Samia kurekodi Makala Maalum itakayoonyeshwa katika kipindi cha Royal Tour ambayo itatangaza Utalii, fursa za uwekezaji zilizopo nchini, biashara na kutangaza mazuri ya Tanzania na hali halisi ya nchi ili kutotoa mwanya kwa wanaojaribu kuichafua.

#KaziInaendelea
Vijana wanangoja ajira
 
Mwendawazimu mkubwa wewe kwann unashindwa kuandika alichobananishwa na doto unaandika upuuzi wako kama mlivopanga nakumdanfanya mama akaingia mwilimzima

Hakuna wananchi wakufanya hiyo Royal tour yenu hadi awe Rais namengine mengi aliyogongwa maswali na kujigonga yeye msigwa kujib

Kinagaubaga nimekisikiliza chote tusubiri aibu ya karne
 
Katika kipindi cha Kinagaubaga cha Idhaa ya Kiswahili ya DW cha nchini Ujerumani, Msemaji Mkuu wa Serikali Ndugu Gerson Msigwa ameeleza kiundani sababu za Rais Samia kurekodi Makala Maalum itakayoonyeshwa katika kipindi cha Royal Tour ambayo itatangaza Utalii, fursa za uwekezaji zilizopo nchini, biashara na kutangaza mazuri ya Tanzania na hali halisi ya nchi ili kutotoa mwanya kwa wanaojaribu kuichafua.

#KaziInaendelea

DUNIA INAJUMLA YA WATALI 1.5BL WANATAFUTA WAPI WAKALE BATA KILA MWAKA | TANZANI NI YAPILI KWA VIVUTIO ASILIA DUNIANI TUNAPOKEA WATALI CHINI YA 1M,IKOJE HII!?
_____________________________________

Niseme kidogo kuhusu Rais Samia na "Royal Tour. "Tanzania ni nchi ya Pili kwa Vivutio vya asili duniani baada ya Brazili,Tofauti na nchi zingine 80% ya Watali wote wanaozuru Vivutio vya Brazili ni Wabrazili,Niwatali 6.5m ndio wanatoka nje ya Brazili kwa mwaka,Mwaka 2018|19 Brazili ilijikusanyia kiasi cha $97.11BL karibu Tshs 215 trilioni kama mapato yatokanayo na Utali, Fedha hii inaweza gharamia bajeti ya Serikali ya JMT kwa miaka 5 mfululizo tena bila ya Mtanzania yeyote kutozwa kodi|tozo,Namaanisha hadi Vyoo vya kulipia viwe bure.Je,tumewahi kujiuliza kwanini hawa Brazili wakusanye Tshs 215trilioni kwa mwaka na Sisi tukusanye Tshs 5.3trilioni kwa mwaka sawa na tofauti ya Tshs 210trilioni ili hali Sisi ni Wapili baada ya wao kwa Vivutio duniani, Yaani Kwanini Wao!!? Rais Samia Suluhu amekuja na jibu ambalo ni "Royal Tour Film " na hapa lazima tutambue Tanzania Kiutali haifahamiki kabisa duniani heri ya Bongo Zozo.

Leo kwa mwaka Tanzania inapokea watali chini ya 1m pamoja na utitiri wa Vivutio ilivyonavyo, Chaajabu Ufaransa inayoongoza kwa Utali duniani haina twiga wala Simba inamagofu na Mnara ( all are man-made ) lakini inaingiza zaidi ya watali 89m na €56.2BL kwa mwaka sawa na Tshs 154trilioni,Hivi kwa vivutio tulivyonavyo nikweli tumeshindwa kuinyanga'nya hata Watali 5m tu kwa mwaka waje Tanzania!? Lazima tufahamu duniani kwa Sasa Utali ni biashara kipaumbele na msitegemee nchi yeyote duniani kutangaza vivutio vyenu zaidi ya Sisi wenyewe kwa Platform hizi za " Royal Tour Film. " Tatizo la Uhaba wa watali Tanzania sio tu Corona hata "Ushawishi " pia uko chini, Kwaakili ya kawaida ni ngumu zaidi kwa Mtali anayefahamu "Nini Kipo Tanzania " aache kuja kumtazama nyumbu|tembo "Live " pale Serengeti aende kumtazama tembo wa kwenye michoro kule Ufaransa,

Siku Mungu akitupa walau watali 5m tu kwa mwaka nchi yetu itaingiza zaidi Tshs 10trilioni kama mapato yatokanayo na Utali,Pesa hii inakwenda moja kwa moja kwa wanachi kwanjia ya kuwahudumia Watali na serikali itapata kiasi kama tozo ya Utali,Nchi hii inaweza kuendeshwa kwa Utali tu kama tu dunia itafahamu "Nini Kipo Tanzania " Zaidi ya 50% ya watali wanaofika Kenya kwa Utali wamevutiwa na Vivutio vilivyopo Tanzania,inauma Sana na lazima tumshukuru Rais Samia kwaajili ya "Royal Tour Film " Mfano, Mwaka 2017|18 mapato yetu yatokanayo na Utali yalifikia $2.4BL sawa na Tshs 5.5trilioni wakati rekodi ya Watali ikiwa 2m,Lakini tunafahamu duniani kila mwaka kuna zaidi ya Watali 1.5bl wanatafuta wapi waende kula bata,Lakini Sisi Tanzania pamoja na kuwa Wapili kwa Vivutio tena vya asili duniani tunaambulia watali 2m tu,Nadhani kunasehemu tulikwama na ndio Sababu ya Mungu kumleta Rais Samia na yeye kutuletea "Royal Tour Film. "Mnaolalamikia gharama za Tour rudieni kusoma andiko hili,


.........Kazi iendele.........
 
Kuna jamaa anasema vijana wanasubiri ajira hivi ajira inatolewa KWAAJILI ya kuwafurahisha watu? au ni mahitaji ya ajira kwa ajili ya tija kulingana na mahitaji ya kila sekta pia na uwezo wa kulipa mishahara.?
 
DUNIA INAJUMLA YA WATALI 1.5BL WANATAFUTA WAPI WAKALE BATA KILA MWAKA | TANZANI NI YAPILI KWA VIVUTIO ASILIA DUNIANI TUNAPOKEA WATALI CHINI YA 1M,IKOJE HII!?
_____________________________________

Niseme kidogo kuhusu Rais Samia na "Royal Tour. "Tanzania ni nchi ya Pili kwa Vivutio vya asili duniani baada ya Brazili,Tofauti na nchi zingine 80% ya Watali wote wanaozuru Vivutio vya Brazili ni Wabrazili,Niwatali 6.5m ndio wanatoka nje ya Brazili kwa mwaka,Mwaka 2018|19 Brazili ilijikusanyia kiasi cha $97.11BL karibu Tshs 215 trilioni kama mapato yatokanayo na Utali, Fedha hii inaweza gharamia bajeti ya Serikali ya JMT kwa miaka 5 mfululizo tena bila ya Mtanzania yeyote kutozwa kodi|tozo,Namaanisha hadi Vyoo vya kulipia viwe bure.Je,tumewahi kujiuliza kwanini hawa Brazili wakusanye Tshs 215trilioni kwa mwaka na Sisi tukusanye Tshs 5.3trilioni kwa mwaka sawa na tofauti ya Tshs 210trilioni ili hali Sisi ni Wapili baada ya wao kwa Vivutio duniani, Yaani Kwanini Wao!!? Rais Samia Suluhu amekuja na jibu ambalo ni "Royal Tour Film " na hapa lazima tutambue Tanzania Kiutali haifahamiki kabisa duniani heri ya Bongo Zozo.

Leo kwa mwaka Tanzania inapokea watali chini ya 1m pamoja na utitiri wa Vivutio ilivyonavyo, Chaajabu Ufaransa inayoongoza kwa Utali duniani haina twiga wala Simba inamagofu na Mnara ( all are man-made ) lakini inaingiza zaidi ya watali 89m na €56.2BL kwa mwaka sawa na Tshs 154trilioni,Hivi kwa vivutio tulivyonavyo nikweli tumeshindwa kuinyanga'nya hata Watali 5m tu kwa mwaka waje Tanzania!? Lazima tufahamu duniani kwa Sasa Utali ni biashara kipaumbele na msitegemee nchi yeyote duniani kutangaza vivutio vyenu zaidi ya Sisi wenyewe kwa Platform hizi za " Royal Tour Film. " Tatizo la Uhaba wa watali Tanzania sio tu Corona hata "Ushawishi " pia uko chini, Kwaakili ya kawaida ni ngumu zaidi kwa Mtali anayefahamu "Nini Kipo Tanzania " aache kuja kumtazama nyumbu|tembo "Live " pale Serengeti aende kumtazama tembo wa kwenye michoro kule Ufaransa,

Siku Mungu akitupa walau watali 5m tu kwa mwaka nchi yetu itaingiza zaidi Tshs 10trilioni kama mapato yatokanayo na Utali,Pesa hii inakwenda moja kwa moja kwa wanachi kwanjia ya kuwahudumia Watali na serikali itapata kiasi kama tozo ya Utali,Nchi hii inaweza kuendeshwa kwa Utali tu kama tu dunia itafahamu "Nini Kipo Tanzania " Zaidi ya 50% ya watali wanaofika Kenya kwa Utali wamevutiwa na Vivutio vilivyopo Tanzania,inauma Sana na lazima tumshukuru Rais Samia kwaajili ya "Royal Tour Film " Mfano, Mwaka 2017|18 mapato yetu yatokanayo na Utali yalifikia $2.4BL sawa na Tshs 5.5trilioni wakati rekodi ya Watali ikiwa 2m,Lakini tunafahamu duniani kila mwaka kuna zaidi ya Watali 1.5bl wanatafuta wapi waende kula bata,Lakini Sisi Tanzania pamoja na kuwa Wapili kwa Vivutio tena vya asili duniani tunaambulia watali 2m tu,Nadhani kunasehemu tulikwama na ndio Sababu ya Mungu kumleta Rais Samia na yeye kutuletea "Royal Tour Film. "Mnaolalamikia gharama za Tour rudieni kusoma andiko hili,


.........Kazi iendele.........
Well said mkuu. Umeiandika vizuri Sana. Kongole kwako
 
DUNIA INAJUMLA YA WATALI 1.5BL WANATAFUTA WAPI WAKALE BATA KILA MWAKA | TANZANI NI YAPILI KWA VIVUTIO ASILIA DUNIANI TUNAPOKEA WATALI CHINI YA 1M,IKOJE HII!?
_____________________________________

Niseme kidogo kuhusu Rais Samia na "Royal Tour. "Tanzania ni nchi ya Pili kwa Vivutio vya asili duniani baada ya Brazili,Tofauti na nchi zingine 80% ya Watali wote wanaozuru Vivutio vya Brazili ni Wabrazili,Niwatali 6.5m ndio wanatoka nje ya Brazili kwa mwaka,Mwaka 2018|19 Brazili ilijikusanyia kiasi cha $97.11BL karibu Tshs 215 trilioni kama mapato yatokanayo na Utali, Fedha hii inaweza gharamia bajeti ya Serikali ya JMT kwa miaka 5 mfululizo tena bila ya Mtanzania yeyote kutozwa kodi|tozo,Namaanisha hadi Vyoo vya kulipia viwe bure.Je,tumewahi kujiuliza kwanini hawa Brazili wakusanye Tshs 215trilioni kwa mwaka na Sisi tukusanye Tshs 5.3trilioni kwa mwaka sawa na tofauti ya Tshs 210trilioni ili hali Sisi ni Wapili baada ya wao kwa Vivutio duniani, Yaani Kwanini Wao!!? Rais Samia Suluhu amekuja na jibu ambalo ni "Royal Tour Film " na hapa lazima tutambue Tanzania Kiutali haifahamiki kabisa duniani heri ya Bongo Zozo.

Leo kwa mwaka Tanzania inapokea watali chini ya 1m pamoja na utitiri wa Vivutio ilivyonavyo, Chaajabu Ufaransa inayoongoza kwa Utali duniani haina twiga wala Simba inamagofu na Mnara ( all are man-made ) lakini inaingiza zaidi ya watali 89m na €56.2BL kwa mwaka sawa na Tshs 154trilioni,Hivi kwa vivutio tulivyonavyo nikweli tumeshindwa kuinyanga'nya hata Watali 5m tu kwa mwaka waje Tanzania!? Lazima tufahamu duniani kwa Sasa Utali ni biashara kipaumbele na msitegemee nchi yeyote duniani kutangaza vivutio vyenu zaidi ya Sisi wenyewe kwa Platform hizi za " Royal Tour Film. " Tatizo la Uhaba wa watali Tanzania sio tu Corona hata "Ushawishi " pia uko chini, Kwaakili ya kawaida ni ngumu zaidi kwa Mtali anayefahamu "Nini Kipo Tanzania " aache kuja kumtazama nyumbu|tembo "Live " pale Serengeti aende kumtazama tembo wa kwenye michoro kule Ufaransa,

Siku Mungu akitupa walau watali 5m tu kwa mwaka nchi yetu itaingiza zaidi Tshs 10trilioni kama mapato yatokanayo na Utali,Pesa hii inakwenda moja kwa moja kwa wanachi kwanjia ya kuwahudumia Watali na serikali itapata kiasi kama tozo ya Utali,Nchi hii inaweza kuendeshwa kwa Utali tu kama tu dunia itafahamu "Nini Kipo Tanzania " Zaidi ya 50% ya watali wanaofika Kenya kwa Utali wamevutiwa na Vivutio vilivyopo Tanzania,inauma Sana na lazima tumshukuru Rais Samia kwaajili ya "Royal Tour Film " Mfano, Mwaka 2017|18 mapato yetu yatokanayo na Utali yalifikia $2.4BL sawa na Tshs 5.5trilioni wakati rekodi ya Watali ikiwa 2m,Lakini tunafahamu duniani kila mwaka kuna zaidi ya Watali 1.5bl wanatafuta wapi waende kula bata,Lakini Sisi Tanzania pamoja na kuwa Wapili kwa Vivutio tena vya asili duniani tunaambulia watali 2m tu,Nadhani kunasehemu tulikwama na ndio Sababu ya Mungu kumleta Rais Samia na yeye kutuletea "Royal Tour Film. "Mnaolalamikia gharama za Tour rudieni kusoma andiko hili,


.........Kazi iendele.........
Umaskini unasababisha umaskini. Tanzania ina vivutio vingi hadi kati ya hivyo saba vimetangazwa na UNESCO kama urithi wa dunia, hivyo vinajulikana duniani. Shida kubwa inayotusumbua ni umaskini uliotapakaa kila mahali. Ustaarabu wa sasa duniani ni kuona watu wakiishi maisha bora mengine baadae. Watalii wakija huku badala ya kula bata na kufurahi, wanaanza kusikitika kwa kuona umaskini asilia unaotesa binadamu wasio na hatia huko vijiji ambako ndipo vivutio vilipo. Maskini wanaomba omba watalii, hili si jambo la kuvutia watalii.
Nashauri royal tour iangalie na kuboresha maisha ya wanaozunguka vivutio hili wasiwakwaze watalii kwa kuona na kuanza kuwasikitikia badala ya kujaza mioyo furaha.

 
DUNIA INAJUMLA YA WATALI 1.5BL WANATAFUTA WAPI WAKALE BATA KILA MWAKA | TANZANI NI YAPILI KWA VIVUTIO ASILIA DUNIANI TUNAPOKEA WATALI CHINI YA 1M,IKOJE HII!?
_____________________________________

Niseme kidogo kuhusu Rais Samia na "Royal Tour. "Tanzania ni nchi ya Pili kwa Vivutio vya asili duniani baada ya Brazili,Tofauti na nchi zingine 80% ya Watali wote wanaozuru Vivutio vya Brazili ni Wabrazili,Niwatali 6.5m ndio wanatoka nje ya Brazili kwa mwaka,Mwaka 2018|19 Brazili ilijikusanyia kiasi cha $97.11BL karibu Tshs 215 trilioni kama mapato yatokanayo na Utali, Fedha hii inaweza gharamia bajeti ya Serikali ya JMT kwa miaka 5 mfululizo tena bila ya Mtanzania yeyote kutozwa kodi|tozo,Namaanisha hadi Vyoo vya kulipia viwe bure.Je,tumewahi kujiuliza kwanini hawa Brazili wakusanye Tshs 215trilioni kwa mwaka na Sisi tukusanye Tshs 5.3trilioni kwa mwaka sawa na tofauti ya Tshs 210trilioni ili hali Sisi ni Wapili baada ya wao kwa Vivutio duniani, Yaani Kwanini Wao!!? Rais Samia Suluhu amekuja na jibu ambalo ni "Royal Tour Film " na hapa lazima tutambue Tanzania Kiutali haifahamiki kabisa duniani heri ya Bongo Zozo.

Leo kwa mwaka Tanzania inapokea watali chini ya 1m pamoja na utitiri wa Vivutio ilivyonavyo, Chaajabu Ufaransa inayoongoza kwa Utali duniani haina twiga wala Simba inamagofu na Mnara ( all are man-made ) lakini inaingiza zaidi ya watali 89m na €56.2BL kwa mwaka sawa na Tshs 154trilioni,Hivi kwa vivutio tulivyonavyo nikweli tumeshindwa kuinyanga'nya hata Watali 5m tu kwa mwaka waje Tanzania!? Lazima tufahamu duniani kwa Sasa Utali ni biashara kipaumbele na msitegemee nchi yeyote duniani kutangaza vivutio vyenu zaidi ya Sisi wenyewe kwa Platform hizi za " Royal Tour Film. " Tatizo la Uhaba wa watali Tanzania sio tu Corona hata "Ushawishi " pia uko chini, Kwaakili ya kawaida ni ngumu zaidi kwa Mtali anayefahamu "Nini Kipo Tanzania " aache kuja kumtazama nyumbu|tembo "Live " pale Serengeti aende kumtazama tembo wa kwenye michoro kule Ufaransa,

Siku Mungu akitupa walau watali 5m tu kwa mwaka nchi yetu itaingiza zaidi Tshs 10trilioni kama mapato yatokanayo na Utali,Pesa hii inakwenda moja kwa moja kwa wanachi kwanjia ya kuwahudumia Watali na serikali itapata kiasi kama tozo ya Utali,Nchi hii inaweza kuendeshwa kwa Utali tu kama tu dunia itafahamu "Nini Kipo Tanzania " Zaidi ya 50% ya watali wanaofika Kenya kwa Utali wamevutiwa na Vivutio vilivyopo Tanzania,inauma Sana na lazima tumshukuru Rais Samia kwaajili ya "Royal Tour Film " Mfano, Mwaka 2017|18 mapato yetu yatokanayo na Utali yalifikia $2.4BL sawa na Tshs 5.5trilioni wakati rekodi ya Watali ikiwa 2m,Lakini tunafahamu duniani kila mwaka kuna zaidi ya Watali 1.5bl wanatafuta wapi waende kula bata,Lakini Sisi Tanzania pamoja na kuwa Wapili kwa Vivutio tena vya asili duniani tunaambulia watali 2m tu,Nadhani kunasehemu tulikwama na ndio Sababu ya Mungu kumleta Rais Samia na yeye kutuletea "Royal Tour Film. "Mnaolalamikia gharama za Tour rudieni kusoma andiko hili,


.........Kazi iendele.........

Tukiwambia akili hamunazo mnakataa!.
utalii gani wakati.
Miundo mbinu ni changamoto, barabara hazipitiki kipindi cha mvua, hakuna magari, huduma mbovu kutoka kwa wahudumu, Gharama za utalii ni kubwa,

Kiufupi Tanzania bado sana kwa utalii naona hii yote ni kutokana naa wale waliopewa dhamana kutokuwa na uelewa mpana wa nini maana ya utalii, wao wanafikria ni suala mzungu kuja na kuona wanyama na mistu wanshindwa kujua hata wazawa ndio watalii namba moja.
Kuna udwanzi mkubwa sana kwa viongozi wetu wasio na maono na uelewa, wanachokiwaza ni pesa pesa! pesa! pesa!
Tengeneza mazingira kwanza ya kupata pesa badala ya kuwazia kuchukua pesa ndio utengeneze mazingira.

Nini kifanyike

Tuboreshe miundo mbinu, barabara, mahoteli, umeme, maji N.k kwenye maeneo ya utalii. Tupunguze gharama za utalii ambazo kwa kiasi fulani haziendani na uhitaji na matamanio ya watalii.

Tuhimize utalii wa ndani zaidi maana wananchi ndio mabarozi wazuri kuutangaza utalii kuliko hao akina nani naa nani.

Elimu! Elimu! Elimu!
 
Umaskini unasababisha umaskini. Tanzania ina vivutio vingi hadi kati ya hivyo saba vimetangazwa na UNESCO kama urithi wa dunia, hivyo vinajulikana duniani. Shida kubwa inayotusumbua ni umaskini uliotapakaa kila mahali. Ustaarabu wa sasa duniani ni kuona watu wakiishi maisha bora mengine baadae. Watalii wakija huku badala ya kula bata na kufurahi, wanaanza kusikitika kwa kuona umaskini asilia unaotesa binadamu wasio na hatia huko vijiji ambako ndipo vivutio vilipo. Maskini wanaomba omba watalii, hili si jambo la kuvutia watalii.
Nashauri royal tour iangalie na kuboresha maisha ya wanaozunguka vivutio hili wasiwakwaze watalii kwa kuona na kuanza kuwasikitikia badala ya kujaza mioyo furaha.


Hoja ya msingi sana. Shida lipo kwenye mfumo
 
Back
Top Bottom