Bome-e
JF-Expert Member
- Jan 3, 2014
- 17,104
- 26,069
Naam,Naona majibu yamepatikana!Kero za Muungano zimetatuliwa!Zanzibar kalamba dume huku bara ikilamba galasa!Imajine wameshindwa kukubaliana kwa miaka 57 halafu wanafanikiwa ndani ya miezi 4. Kuna wa lakini mkubwa..... Wanajaribu kufurahisha Maza.