Gerson Msigwa: Iko nchi Ulaya GB1 unanunua kwa Dola 15

"Kumekuwa na malalamiko ya vifurushi vimepanda, lakini niwaambie sisi ni kati ya nchi 5 Afrika zenye gharama za chini za bando, ziko baadhi ya nchi za Ulaya ambazo gharama zake ni kubwa, ninafahamu iko nchi ambayo unanunua GB 1 kwa Dola 15"
Mwambie hivi na sisi tunafahamu nchi ambazo wananunua GB moja kwa bei sawa na Tsh 250
 
"Kumekuwa na malalamiko ya vifurushi vimepanda, lakini niwaambie sisi ni kati ya nchi 5 Afrika zenye gharama za chini za bando, ziko baadhi ya nchi za Ulaya ambazo gharama zake ni kubwa, ninafahamu iko nchi ambayo unanunua GB 1 kwa Dola 15"

Huyo Maigwa ni ng’ombe sana.

Mimi natumia 5G kwa 23€ kwa mwezi. Hapo ninalipia unlimited phone calls the whole month, unlimited text messages the whole month na unlimited internet the whole month.

Akili hizi hizi ndo maana Mwendakuzimu alikufa kindezi akipingana na sayansi wakati tuliaminishwa yeye ni mkemia.
 
Na pia iko nchi mwenye elimu kama yako ni mzoa taka tu
Ulaya sehemu nyingi hizo dola 15 (ukitumia dola) ni malipo ya kufanya kazi lisaa limoja mpaka limoja na nusu. Yaani tukuchukulia maneno yake ni ya kweli, basi mtu akifanya kibarua cha lisaa limoja na nusu tu ameshapata mshiko wa kununua hiyo GB 1. Utafananisha na Tanzania?
 
"Kumekuwa na malalamiko ya vifurushi vimepanda, lakini niwaambie sisi ni kati ya nchi 5 Afrika zenye gharama za chini za bando, ziko baadhi ya nchi za Ulaya ambazo gharama zake ni kubwa, ninafahamu iko nchi ambayo unanunua GB 1 kwa Dola 15"
Na sisi si ni miongoni mwa nchi 5 Masikini zaidi Africa..ama?
 
Ndio anataka kusemaje, kwa uchumi upi wa mtu mmoja mmoja, kwa maisha ya kibongo bongo kwetu bando ghali hiyo moja, lakini kubwa kuliko, hiyo kauli yake haijustify kupandisha vifurushi, why vipande, vippandde kisa kuna sehemu waatu wananunua gb 1 kwa elfu 15, nini maaana ya kumpa mtanzania unafuu wa maisha, kauli yake inamaanisha vitu vingi vilipaswa viwe bei chini kuanzia mafuta, sukari, gesi, cement, mafuta ya nishati n.k ila wamepandisha bei sababu kuna nchi vipo juu saana.

Pumba kama hii nayo ni kiongozi eti... Ama kweli Bongo nyoso
 
"Kumekuwa na malalamiko ya vifurushi vimepanda, lakini niwaambie sisi ni kati ya nchi 5 Afrika zenye gharama za chini za bando, ziko baadhi ya nchi za Ulaya ambazo gharama zake ni kubwa, ninafahamu iko nchi ambayo unanunua GB 1 kwa Dola 15"
Na hizo nchi kipato cha wananchi wake ni sawa na kipato cha Watanzania?

Kuna umuhimu wa kujisikiliza kwanza,
Kabla ya kuongea.
 
Mwambie huyo mtu wenu ulaya Kuna nchi Lechtenstein mabasi ya mjini Kama UDART yanapandwa bure bila nauli na yako on time na hayajazi Kama UDART.
Pia ulaya sehemu nyingi za Uma Kama Mnazi mmoja gardens Kuna free WiFi. Ulaya aliyoenda yeye Ni Afghanistan au Takejekstan?
 
Msigwa uko sawa Ila inategemea na chumi za nchi, sahani ya pilau Canada Dola 18 ambapo bongo ni buku 3 unapata pilau, so Dola 15 inategemea economic status of a certain country
 
Back
Top Bottom