Kaka hao mbwa noma sana! Nchi nyingine wamepigwa marufuku
Sent from my Nokia 8310 using Tapatalk
Acha sound wewe! Hao ni mbwa common duniani hasa kwenye majeshi. Kama kuna mtu anao Hao puppies mkoani MBEYA aniPM.
Mjomba sound za nini?? Unajua kua hao mbwa UK na France watu wa kawaida wanapikonywa?? Hebu google kidogo uone wameumiza watu wangapi na kuua watoto wangapi
Sent from my Nokia 8310 using Tapatalk
Mjomba sound za nini?? Unajua kua hao mbwa UK na France watu wa kawaida wanapikonywa?? Hebu google kidogo uone wameumiza watu wangapi na kuua watoto wangapi
Sent from my Nokia 8310 using Tapatalk
Usichanganye German Shepherd na Rottweiler
Dah!!!! ASANTE sana kwa kunisahihisha, ni kweli nilichanganya! Shukran
Sent from my Nokia 8310 using Tapatalk