kaka km
JF-Expert Member
- Nov 16, 2013
- 1,336
- 681
Wenyeji wa Dar naomba msaada wenu.
Gari yangu ina tatizo na nadhani watu wa Diagnosis wataweza kujua tatizo lake ni nini, huko mikoani nimeipeleka kwa mafundi wengi hawajagundua tatizo.
Gari ni Vanguard, ikiwa spidi ama gia ndogo kuanzia 0-30 inakua kama inashtuka, kama inataka kusimama ghafla ila kuanzia 40 kwenda juu haina tatizo. Yani ukiwa hiyo spidi utanotisi hilo tatizo mara chache chache. Hii inanikosesha furaha na amani.
Sasa niko Dar, naomba kufahamu gereji nzuri naweza kupata huduma. Nimeshauriwa toyota ila wale jamaa najua wana bei kubwa sana ingawa huduma zao pia ni uhakika, checkup tu ni karibu 300k kama sijakosea.
Natanguliza shukrani ndugu zanguni.
MREJESHO 9.7.2021.
Nawashukuru wote mliotoa ushauri wenu huku, nilibadili oil nikaweka ya CVT na lile tatizo limeisha kabisa.
Siku 2 za mwanzo baada ya kubadili oil nilikua nahisi lile tatizo mara moja moja ila baadae likaisha kabisa. Hii ni wiki ya 2 sijasikia tena lile tatizo.
Nawashukuru sana mlionipa ushauri. Mbarikiwe sana.
Gari yangu ina tatizo na nadhani watu wa Diagnosis wataweza kujua tatizo lake ni nini, huko mikoani nimeipeleka kwa mafundi wengi hawajagundua tatizo.
Gari ni Vanguard, ikiwa spidi ama gia ndogo kuanzia 0-30 inakua kama inashtuka, kama inataka kusimama ghafla ila kuanzia 40 kwenda juu haina tatizo. Yani ukiwa hiyo spidi utanotisi hilo tatizo mara chache chache. Hii inanikosesha furaha na amani.
Sasa niko Dar, naomba kufahamu gereji nzuri naweza kupata huduma. Nimeshauriwa toyota ila wale jamaa najua wana bei kubwa sana ingawa huduma zao pia ni uhakika, checkup tu ni karibu 300k kama sijakosea.
Natanguliza shukrani ndugu zanguni.
MREJESHO 9.7.2021.
Nawashukuru wote mliotoa ushauri wenu huku, nilibadili oil nikaweka ya CVT na lile tatizo limeisha kabisa.
Siku 2 za mwanzo baada ya kubadili oil nilikua nahisi lile tatizo mara moja moja ila baadae likaisha kabisa. Hii ni wiki ya 2 sijasikia tena lile tatizo.
Nawashukuru sana mlionipa ushauri. Mbarikiwe sana.