Tebajanga
Member
- Sep 14, 2011
- 68
- 102
Habari wakuu.
Ninatarajia kuchukua Nissan Dualis. Napenda kujua ni oil zipi (Brand na vipimo) na ni gereji ipi kwa hapa Dar es Salaam wana mafundi wazuri wa Nissan?
Pia kuna uzi niliusoma unasema oil ya engine inabidi iwe 5w 30, je kuna ukweli kuhusu hilo?
Na oil ya transmission, gearbox oil inabidi kuweka ipi? (Brand na vipimo)
Pia nimesikia kuwa si vizuri kuweka maji ya bomba kwenye rejeta, je maji yapi yanafaa?
Kwa wale wanao miliki Nissan Dualis, mnaweza mkashare njia mbalimbali mnazozitumia kutunza ubora wa gari na injini?
Swali la nyongeza, ni vizuri gari litakapofika kutoka Japan nilifanyie service kabla ya kuanza kulitumia? Kama ndio ni services zipi za muhimu?
Natanguliza shukrani.
Ninatarajia kuchukua Nissan Dualis. Napenda kujua ni oil zipi (Brand na vipimo) na ni gereji ipi kwa hapa Dar es Salaam wana mafundi wazuri wa Nissan?
Pia kuna uzi niliusoma unasema oil ya engine inabidi iwe 5w 30, je kuna ukweli kuhusu hilo?
Na oil ya transmission, gearbox oil inabidi kuweka ipi? (Brand na vipimo)
Pia nimesikia kuwa si vizuri kuweka maji ya bomba kwenye rejeta, je maji yapi yanafaa?
Kwa wale wanao miliki Nissan Dualis, mnaweza mkashare njia mbalimbali mnazozitumia kutunza ubora wa gari na injini?
Swali la nyongeza, ni vizuri gari litakapofika kutoka Japan nilifanyie service kabla ya kuanza kulitumia? Kama ndio ni services zipi za muhimu?
Natanguliza shukrani.