Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 11,625
- 22,001
Wale mafala wajinga sana,mimi nikienda mitaa ile najifanya naingia hospitali mnazi m1 wakisambaa ndio naenda mdogo mdogo kwa mwananchi mwenzangu bin slumUle usumbufu wa kupaki gari kila mtu anataka akufanyie kitu kwenye gari lako wanaweza kuzunguka ata vijana zaidi ya 7