Brown ad
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 345
- 204
Mimi nilikua shabiki msikilizaji mzuri sana wa Power Breakfast ya Clouds Fm nakiri kiukweli bwana Gerald Hando ndiye aliyenihamasisha kuwa msikilizaji wa kila siku na alipohama kwenda E-fm nikahama naye
Ila nikaendelee kupata ile ladha yake!! ila nasikitika kusema kuwa baada ya kuhamia huku alipo sasa ile ladha yake imepotea ambapo sijajua tatizo ni yeye kupania sana kuuonesha ule ubora wake au team work yake aliyonayo huku sio bora kama alipokua awali!!
Gerald kaishia kuwa mrusha vijembe tu! ! Gerald kaishia kuwa mcheza show na yule Musa kipanya
Ila nikaendelee kupata ile ladha yake!! ila nasikitika kusema kuwa baada ya kuhamia huku alipo sasa ile ladha yake imepotea ambapo sijajua tatizo ni yeye kupania sana kuuonesha ule ubora wake au team work yake aliyonayo huku sio bora kama alipokua awali!!
Gerald kaishia kuwa mrusha vijembe tu! ! Gerald kaishia kuwa mcheza show na yule Musa kipanya