Gerald Hando anatumia vibaya nafasi yake ya utangazaji wa kipindi cha Power Breakfast

alikopelekwa msitu wa Pande kuna watu wengine au madaktari wengine walikuwepo kwa hiyo lawama isielekezwe kwa serikali.Jambo hili linahiataji uchunguzi huru ili kuupata ukweli halisi wa jambo hili.Leo pia katika jicho la ng¡¯ombe ameongea kwa vijembe kuwa katika bunge la bajeti wabunge hawazungumzii masuala ya bajeti na badala yake wanaingiza hoja za kibinafsi(personal) akitolea mfano kuwa mamabo ya mitaani kama kufumaniwa mwishoe yataongelewa bungeni.
Nilipo quote
hapo tatizo lipo wapi? Tatizo letu tunapenda sana kusikia vitu tunavyopenda kuambiwa..Kwa hiyo na wewe una support baadhi ya upuuzi unaozungumzwa bungeni ambao ni irrelevant? Hayo aliyosemwa ndo tunapoelekea hadi mtu akifuniwa atazungumziwa bungeni.
 
usiumize kichwa kujadili masuala anayoongea..jiulize elimu yake ndo utapata jibu...Failure form 4 unategemea aongee nini
 
Makubwa hayo!Hao clouds wameanza kupoteza dira kwa kuendelea kuEntertain mambo yakipumbavu kbs yan utakuta watu wanatukana hadhar bila kujal hata kama hcho ni chombo kinachosikilzwa na watu wa umri tofauti.Huyo Hando wadudu kwel wanamla!
 
Mimi natamani 2015 ifike na CCM ambayo haitakuwa madarakani sasa tuone kama wataendelea kueneza propaganda zao au watafunga radio yao na kuanza kupiga mziki kama zamani.
Take care kijana you still very young kuanza kuongea kama akina sijui mchemba wale tayari wana masters na mauzoefu kibao wakienda nchi yoyote wanapata kazi tu hata kama za propaganda.
 
Mimi natamani 2015 ifike na CCM ambayo haitakuwa madarakani sasa tuone kama wataendelea kueneza propaganda zao au watafunga radio yao na kuanza kupiga mziki kama zamani.
Take care kijana you still very young kuanza kuongea kama akina sijui mchemba wale tayari wana masters na mauzoefu kibao wakienda nchi yoyote wanapata kazi tu hata kama za propaganda.
Una maana CCM ikondoka madarakani uhuru wa habari hauto kuwepo?au kutakuwa na vyomba vya habari vya fia chama chama kitakacho tawala mwako huo?
 
Una maana CCM ikondoka madarakani uhuru wa habari hauto kuwepo?au kutakuwa na vyomba vya habari vya fia chama chama kitakacho tawala mwako huo?

Sio kuwa uhuru wa vyombo vya habari hautakuwepo najaribu kusema anatakiwa asiegemee upande mmoja tu kwani watu wengi atujui ukweli wa mambo.Yeye kama alivyokwenye media alitakiwa afanye utafiti na aelimishe watu kitu gani kimetokea ,serekali inatakiwa isimame wapi!pia akatazwe kuweka mtazamo wake.Ila kinacholalamikiwa ni yeye kuongelea upande mmoja na mbaya zaidi unamshambulia mtu ambaye wala hauko naye studio.
Ushauri wangu ,angeongea na wote wawili kupapata view zao halafu akaanalyse .Otherwise bado anajitahidi tu
 
hiyo Radio si ilishafungiwa au?/siku nyingi sana hivi Masoud Kipanya na Phina Mango bado wanaendesha kile kipindi cha asubuhi siwasikilizagi wale hawana jipya ni kama wanauza mtandao wa NUSU SHILINGI (TIGO SALER)
 
Tokea Bosi wao Ruge alipoitilafiana na Mr. Sugu wao wa staili ya KIBONDE wamekuwa against CDM bila sababu. Ni vijana lakini hawajaelimika, elimu Zero!!!
 
Clouds fm, radio uhuru, tbc radio na tv, zote ni sawa kazi yao kusambambaza propaganda za ccm zilizopitwa na wakati. Lakini siku zao zinahesabika siku cdm ikichukua madaraka watafute pori la kujificha

yani gerald hando na ephraim kibonde hawa jamaa ni wapambe wa ccm na serekali yake. Yaani siwapendi hata kuwaona. Ningekuwa kiongozi wa madaktari ningeamuru wasitibiwe kabisa na madaktari wa bongo wakiumwa hata mafua ccm iwapeleke india wakatibiwe
 
waandishi wahabari huwa wanaleta matatizo mengi sana ktk jamii na kama huamini hili fuatilia ile vita ya burundi kuna mwandishi kafungwa maisha kwa uchochezi na sasa wanahaha kumtoa,hata kenya yale matatizo yaliyotokea ktk kipindi cha uchaguzi mmoja aliyepelekwa ICC ni mwandishi wa habari,sasa hawa waandishi hufanya mambo bila kuelewa matatizo yako na mwisho wa siku yanapowakuta huanza kulalama

waandishi kama hawa hawawezi kuishi mexico maana kule unapo ongea upuuzi wanakusubiri nje ya geti na haphapo unapewa unachostahili,hata sudan tu hawa waandishi hawawezi kuishi wala kutangaza kwani mifano tumeiona,wanaokwenda kinyume na uandishi wa habari hupewa zawadi zao

cha muhimu waandishi muwe makini,mnasikilizwa na wengi na watu wenye uelewa tofauti
 
Hembu tupeni cv ya gerald hando, kibonde paamoja na hawa mabosi wao. Nina wasiwasi na elimu zao maana naona kuna ombwe la oungozi. Inawezekana tunajadili watangazaji form four failures na viongozi wao madj wa muziki unatemea atasema nini.

Madj hata siku moja hawajui lolote zaidi ya habari za miziki zakina beyince, diamond nk
 
Clouds enzi hizo bana! enzi za akina Big Man Chriss,K singo,Bonny Luv,A.C,Seven,Boogie Master,K.P,Fina,Dj Charles n.k si hawa wapuuzi wajuaji wa kuokota mitaani na njaa zao!
 
great thinkers mnachekesha kwa kuwajadili watu waliofeli kidato cha nne , shame you all , leteni topiki safi na si kujadili porojo za watu ambao kimsingi ni mediocres
 
Huyu jamaa ana njaa sana, yani ni kama anasubiria kuteuliwa kuwa mfagizi pale LUMUMBA, hawa tutawanyoosha mwaka 2015, tuvumilie tu.
 
Back
Top Bottom