Gerald Hando ana uelewa mdogo wa kuhusu posho

jamani mi nafikiri boss wa clouds ndio wana matatizo ..maana ukija kunngalia wengi shida yao ni elimu ndogo kwa wanachokifanya na pengine sababu mwanaume nashindwa kuongea..ila si shida yake shida za kampuni kuajiri cheap lbr zinawacost wanaogopa wenye shule zao wanaoosoma nyakati awawezi ongea upuuzi wa clouds nasema hivi nimeshona thread za CLOUDS karibu watangazaji wa kila kipindi sasa naona amebaki RUGE na Joseph Hawa tukiwaongelea nahisi tutairekebisha na clouds na kuwa Babu kubwa Tanzania ni redio nzuri ila wamejaa mafimindi watupu
Umeongea Point :Naomba tafsiri kwenye red plz
 
ndugu wana jf, tulijadili hili maana leo asbh nimesikia gerald hando akiongea sana kuhusu posho za wabunge. Kwa mtizamo wangu naona kama gerald hando anaupeo mdogo sana wa kutafakari mambo na kuchambua. Hao clouds mbona wasiweke simu mezani waruhusu watu wachangie kwenye maada zao. Hili la zito na nccr naona kama wapo sahihi kila mbunge analipwa perdiem kwa siku. Hiyo posho ya nini tena. Imagine wewe amesafiri kikazi mbeya. Utalipwa perdiem ya kukuwezesha kula jioni na kulala. Je kuna umhm wa posho. Hata kama zitto amelitambua leo lakini ameonyesha ukomavu. Na je kama wabunge wengine hawasupport hatuoni kama wanatusaliti tusiwachague temu ijayo hata kama wao ni upinzani.


Na hayo nawakilisha mnalionaje hili.

unalosema ni kweli!!! Hawa jamaa masuala ya uelewa ni zero kabisa!!! Hivi qualifications zao zikoje pale, au sifa ni kujua kubwabwaja tu , hata kama ni ngumbalu??? Wanaiabisha tasnia ya habari. Yaani wote ni taarab managers!!!!!! Wanaongea upupu
 
Kati ya siku clouds imenikera ni leo, jamani si lazima kujadili kitu kama upeo wako ni mdogo make hii ni radio inayosikilizwa na watu wengi kwa mtazamo wangu kutokana na umaarufuuliojengwa na masoud na finah, gerlad na wenzake kuna mambo wanachemka na hii ni kutokana na kutokuwa na ufahamu mkubwa katika mada husika, suala la [posho lina mantiki kubwa sana, Zitto alikuwa anachukua ila ni jambo la kishujaa uliona urefu na mapana yake na kusema no, haiwezekani nchi kama tanzania mbunge pamoja na matatizo yote still unalipwa mapesa yote hayo, hapa kuna kitu,kuna watu masikini wa sera tajiri wa pesa na hasa hawa ndo tatizo kwanin bunge wanalitumia kama payback period (recovering of spent money in the campaign) sasas hii kama wananchi hatutasimama kwa sauti moja na uelewa wetu kwa kila mtu na nafasi yake kukemea haya mungu atatuuliza taaluma zetu zimesaidia nini katika ki[pindi chetu cha kuwepo juu ya uso wa dunia.VIVA KABWE ZITTO, U ARE TRUELY POLITICIAN WITH THE RIGHT IQ, PATRIOTIC AS WELL AS MATURED ECONOMIST!
 
Kati ya siku clouds imenikera ni leo, jamani si lazima kujadili kitu kama upeo wako ni mdogo make hii ni radio inayosikilizwa na watu wengi kwa mtazamo wangu kutokana na umaarufuuliojengwa na masoud na finah, gerlad na wenzake kuna mambo wanachemka na hii ni kutokana na kutokuwa na ufahamu mkubwa katika mada husika, suala la [posho lina mantiki kubwa sana, Zitto alikuwa anachukua ila ni jambo la kishujaa uliona urefu na mapana yake na kusema no, haiwezekani nchi kama tanzania mbunge pamoja na matatizo yote still unalipwa mapesa yote hayo, hapa kuna kitu,kuna watu masikini wa sera tajiri wa pesa na hasa hawa ndo tatizo kwanin bunge wanalitumia kama payback period (recovering of spent money in the campaign) sasas hii kama wananchi hatutasimama kwa sauti moja na uelewa wetu kwa kila mtu na nafasi yake kukemea haya mungu atatuuliza taaluma zetu zimesaidia nini katika ki[pindi chetu cha kuwepo juu ya uso wa dunia.VIVA KABWE ZITTO, U ARE TRUELY POLITICIAN WITH THE RIGHT IQ, PATRIOTIC AS WELL AS MATURED ECONOMIST!GERLAD TUNZA HESHIMA YAKO KATIKA JAMII,KIBONDE NDO AMEDIMINISH RAPIDLY FROM SOMETHING-ZERO-FINALLY NEGATIVE
 
Kati ya siku clouds imenikera ni leo, jamani si lazima kujadili kitu kama upeo wako ni mdogo make hii ni radio inayosikilizwa na watu wengi kwa mtazamo wangu kutokana na umaarufuuliojengwa na masoud na finah, gerlad na wenzake kuna mambo wanachemka na hii ni kutokana na kutokuwa na ufahamu mkubwa katika mada husika, suala la [posho lina mantiki kubwa sana, Zitto alikuwa anachukua ila ni jambo la kishujaa uliona urefu na mapana yake na kusema no, haiwezekani nchi kama tanzania mbunge pamoja na matatizo yote still unalipwa mapesa yote hayo, hapa kuna kitu,kuna watu masikini wa sera tajiri wa pesa na hasa hawa ndo tatizo kwanin bunge wanalitumia kama payback period (recovering of spent money in the campaign) sasas hii kama wananchi hatutasimama kwa sauti moja na uelewa wetu kwa kila mtu na nafasi yake kukemea haya mungu atatuuliza taaluma zetu zimesaidia nini katika ki[pindi chetu cha kuwepo juu ya uso wa dunia.VIVA KABWE ZITTO, U ARE TRUELY POLITICIAN WITH THE RIGHT IQ, PATRIOTIC AS WELL AS MATURED ECONOMIST!GERLAD TUNZA HESHIMA YAKO KATIKA JAMII,KIBONDE NDO AMEDIMINISH RAPIDLY FROM SOMETHING-ZERO-FINALLY NEGATIVE

msamehen...et niliskia hando pia ni wale wale marafiki wa chuma,kinyaiya na yule wa air tel...sjui vodacom....hah hah!!
watoto wa mbez ao et ..ahh wambea jaman..mi stak kuamni km ni kweli...et yey ...et ni nanihii km jaji sjui mwanasheria mkuu wa kenya sjui ug...ahh mi stak bana...
 
NDUGU WANA JF, TULIJADILI HILI maana leo asbh nimesikia Gerald hando akiongea sana kuhusu Posho za wabunge. Kwa mtizamo wangu naona kama Gerald hando anaupeo mdogo sana wa kutafakari mambo na kuchambua. Hao Clouds mbona wasiweke simu mezani waruhusu watu wachangie kwenye maada zao. Hili la zito na NCCR naona kama wapo sahihi kila mbunge analipwa PERDIEM kwa siku. Hiyo Posho ya nini tena. Imagine wewe amesafiri kikazi mbeya. Utalipwa perdiem ya kukuwezesha kula jioni na kulala. Je kuna umhm wa posho. Hata kama zitto amelitambua leo lakini ameonyesha ukomavu. Na je kama wabunge wengine hawasupport hatuoni kama wanatusaliti tusiwachague temu ijayo hata kama wao ni upinzani.


Na hayo nawakilisha mnalionaje hili.

ni bahati mbaya sana Gerrard ameamua kuwa vile... lakini ni kazi tu, ukikutana nae mtaani hawezi kusema aliyosema
 
Naona hapa,mnampa umaarufu,usiyo na maana huyo mtangazaji,watangazaji 90% wa Clouds hawana elimu nzuri ya uandishi wa hbr,hata ile knowladge banking yakuweza kumfanyia mtu yeyote interviw,hawana!!
 
msamehen...et niliskia hando pia ni wale wale marafiki wa chuma,kinyaiya na yule wa air tel...sjui vodacom....hah hah!!
Watoto wa mbez ao et ..ahh wambea jaman..mi stak kuamni km ni kweli...et yey ...et ni nanihii km jaji sjui mwanasheria mkuu wa kenya sjui ug...ahh mi stak bana...

aku mi sipo nasema mchanga wa pwani huo .ooooooooooooooooooooooooooooo..........
 
kusema ukwel cloudz fm hawana wachambuz walioweng ni waropokaji mana kama wangekuwa kama east africa radio wakina zembwela wangekuwa wanaweka simu ili kuruhusu watu tuchangie. Ila wao kazi yao kuropoka kama ukiangalia kipnd cha jahaz wakina kibonde ndo wabumbavu watupu mana wanavyoviongea au kubishana havina maana so cloudz ni kuvunja na kutetea chama kimoja tuu
 
Kati ya siku clouds imenikera ni leo, jamani si lazima kujadili kitu kama upeo wako ni mdogo make hii ni radio inayosikilizwa na watu wengi kwa mtazamo wangu kutokana na umaarufuuliojengwa na masoud na finah, gerlad na wenzake kuna mambo wanachemka na hii ni kutokana na kutokuwa na ufahamu mkubwa katika mada husika, suala la [posho lina mantiki kubwa sana, Zitto alikuwa anachukua ila ni jambo la kishujaa uliona urefu na mapana yake na kusema no, haiwezekani nchi kama tanzania mbunge pamoja na matatizo yote still unalipwa mapesa yote hayo, hapa kuna kitu,kuna watu masikini wa sera tajiri wa pesa na hasa hawa ndo tatizo kwanin bunge wanalitumia kama payback period (recovering of spent money in the campaign) sasas hii kama wananchi hatutasimama kwa sauti moja na uelewa wetu kwa kila mtu na nafasi yake kukemea haya mungu atatuuliza taaluma zetu zimesaidia nini katika ki[pindi chetu cha kuwepo juu ya uso wa dunia.VIVA KABWE ZITTO, U ARE TRUELY POLITICIAN WITH THE RIGHT IQ, PATRIOTIC AS WELL AS MATURED ECONOMIST!
 
Akipata ukuu wa wilaya msimfuate fuate kutafura urafiki........ Hando mtumikie kafiri mweegoo.....
 
Kati ya siku clouds imenikera ni leo, jamani si lazima kujadili kitu kama upeo wako ni mdogo make hii ni radio inayosikilizwa na watu wengi kwa mtazamo wangu kutokana na umaarufuuliojengwa na masoud na finah, gerlad na wenzake kuna mambo wanachemka na hii ni kutokana na kutokuwa na ufahamu mkubwa katika mada husika, suala la [posho lina mantiki kubwa sana, Zitto alikuwa anachukua ila ni jambo la kishujaa uliona urefu na mapana yake na kusema no, haiwezekani nchi kama tanzania mbunge pamoja na matatizo yote still unalipwa mapesa yote hayo, hapa kuna kitu,kuna watu masikini wa sera tajiri wa pesa na hasa hawa ndo tatizo kwanin bunge wanalitumia kama payback period (recovering of spent money in the campaign) sasas hii kama wananchi hatutasimama kwa sauti moja na uelewa wetu kwa kila mtu na nafasi yake kukemea haya mungu atatuuliza taaluma zetu zimesaidia nini katika ki[pindi chetu cha kuwepo juu ya uso wa dunia.VIVA KABWE ZITTO, U ARE TRUELY POLITICIAN WITH THE RIGHT IQ, PATRIOTIC AS WELL AS MATURED ECONOMIST!
 
Kati ya siku clouds imenikera ni leo, jamani si lazima kujadili kitu kama upeo wako ni mdogo make hii ni radio inayosikilizwa na watu wengi kwa mtazamo wangu kutokana na umaarufuuliojengwa na masoud na finah, gerlad na wenzake kuna mambo wanachemka na hii ni kutokana na kutokuwa na ufahamu mkubwa katika mada husika, suala la [posho lina mantiki kubwa sana, Zitto alikuwa anachukua ila ni jambo la kishujaa uliona urefu na mapana yake na kusema no, haiwezekani nchi kama tanzania mbunge pamoja na matatizo yote still unalipwa mapesa yote hayo, hapa kuna kitu,kuna watu masikini wa sera tajiri wa pesa na hasa hawa ndo tatizo kwanin bunge wanalitumia kama payback period (recovering of spent money in the campaign) sasas hii kama wananchi hatutasimama kwa sauti moja na uelewa wetu kwa kila mtu na nafasi yake kukemea haya mungu atatuuliza taaluma zetu zimesaidia nini katika ki[pindi chetu cha kuwepo juu ya uso wa dunia.VIVA KABWE ZITTO, U ARE TRUELY POLITICIAN WITH THE RIGHT IQ, PATRIOTIC AS WELL AS MATURED ECONOMIST!
 
msamehen...et niliskia hando pia ni wale wale marafiki wa chuma,kinyaiya na yule wa air tel...sjui vodacom....hah hah!!
watoto wa mbez ao et ..ahh wambea jaman..mi stak kuamni km ni kweli...et yey ...et ni nanihii km jaji sjui mwanasheria mkuu wa kenya sjui ug...ahh mi stak bana...
Etiiii!!!!!!
 
NDUGU WANA JF, TULIJADILI HILI maana leo asbh nimesikia Gerald hando akiongea sana kuhusu Posho za wabunge. Kwa mtizamo wangu naona kama Gerald hando anaupeo mdogo sana wa kutafakari mambo na kuchambua. Hao Clouds mbona wasiweke simu mezani waruhusu watu wachangie kwenye maada zao. Hili la zito na NCCR naona kama wapo sahihi kila mbunge analipwa PERDIEM kwa siku. Hiyo Posho ya nini tena. Imagine wewe amesafiri kikazi mbeya. Utalipwa perdiem ya kukuwezesha kula jioni na kulala. Je kuna umhm wa posho. Hata kama zitto amelitambua leo lakini ameonyesha ukomavu. Na je kama wabunge wengine hawasupport hatuoni kama wanatusaliti tusiwachague temu ijayo hata kama wao ni upinzani.


Na hayo nawakilisha mnalionaje hili.
mimi nazani wewe ndo unauelewa mdogo, maana umedandia gali barabarani, Gerag hando huwezi kumzidi uelewa kwa kuwa tu wewe unaushabiki wa kisiasa katika jambo ambalo shule yako ndogo.
 
Back
Top Bottom