George Waitara alitoa wapi zile pesa?

Lunyungu

JF-Expert Member
Aug 7, 2006
8,873
1,894
Ndugu JK kwanza hongera sana kwa bidii zako wakati fulani unazozinfanya.

Tunakuacha njia panda pale unapoanza na mwisho humalizi. Ulianza vyema sana wakati umekuja madarakani, Ulichukua vijisenti vya Sumaye ukarudisha hazina ukakaa kimya kama kawaida yako.

Baadaye ulijua na hata mimi nilijua kwamba Mkuu wa majeshi wa zamani alikuwa na mapesa ambayo alitaka baadaye kuanzisha airline yake. Ukakomba na ukaa kimya.

Mbona mimi bado nataka kujua hizi huyu Waitara alizipata wapi? Tafadhali unaweza kusema sasa Mr.Prezidenti?

Je kuna data za hii issue jamani? Hivi ndiyo JK alivyoanza.
 
how-to-become-a-lawyer.jpg


"Your honor I would like to introduce exhibit A:"
 
Bwana Watala Alikuwa Ana Wanyonya Majeshi Na Kuweka Kwake,jamaa Alijaliwa Kwa Uselfish Au Uuza Samaki
 
Pili Kwenye Hizi Opelesheni Za Nje Ile Ya Liberia Jamaa Nusu Wagome Kuchukua Mkwanja, Kwani Aliwakata Jamaa Wakataa,palikuwa Pazuli.
 
Pili Kwenye Hizi Opelesheni Za Nje Ile Ya Liberia Jamaa Nusu Wagome Kuchukua Mkwanja, Kwani Aliwakata Jamaa Wakataa,palikuwa Pazuli.

Wakati wa Op ya Liberia Waitara alikuwa kwenye kitengo cha Fedha na malipo au?
 
Ninachojua mimi huyu Sumaye hata Havard alipelekwa na serikali ya JK! Ndio kusema alilipiwa kila kitu jamani!! Hawa wote lao moja, usiwaone hivi!!!
 
JK alimpeleka ili aje kuwa nani baadaye ? Siamini hili maana JK alianza kwa kuchukua vijisenti ambavyo vilipigiwa kelele sana sana .Leo kusema Serikali ilimlipia Sumaye si kweli na kama una ushahidi weka hapa tafadhali .
 
JK alimpeleka ili aje kuwa nani baadaye ? Siamini hili maana JK alianza kwa kuchukua vijisenti ambavyo vilipigiwa kelele sana sana .Leo kusema Serikali ilimlipia Sumaye si kweli na kama una ushahidi weka hapa tafadhali .

LUNYUNGU MBONA UNABANIA MAELEZO PESA GANI HIZO ALIZOKOPA NSSF?
 
Ukiwa jeshini utasema yes sir lakini uraiani itakuwa ishu sana .Hebu niweke sawa sasa na swala la serikali kumsomesha Sumaye havard then tuendelee na mambo ya Waitara.
 
Oh Gawd!!!

I give up!!!
ICADON DONT GIVE UP HIYO NATAKA UJUWE WAKUBWA HUKO JESHINI WALIVYO,NATAKA UJUWE WATU WALIO FUKUZWA KAZI ILI WAKUBWA WABAKI NA WAKE ZA WATU ,NATAKA UJUWE JINSI HAO WAKUU WALIVYO NA SAUTI NA MITANDAO YAO YA KU SWNDLEI
 
Hapa anazungumziwa Waitara au Mboma...maana ata mwaka haujafika tangu huyu muungwana astaafu sasa JK kachukua mahela yake lakini kaacha kuchukua ya EPA?
 
ICADON DONT GIVE UP HIYO NATAKA UJUWE WAKUBWA HUKO JESHINI WALIVYO,NATAKA UJUWE WATU WALIO FUKUZWA KAZI ILI WAKUBWA WABAKI NA WAKE ZA WATU ,NATAKA UJUWE JINSI HAO WAKUU WALIVYO NA SAUTI NA MITANDAO YAO YA KU SWNDLEI

Hii Tanzania karibu na yenyewe itaenda kaburini, watu wanajali maslahi binafsi na starehe za Muda mfupi na kusahau kabisa kuwafanyia hisani wenzao, tutafika namna hii kweli. Sitaki kuwaza ingekuwaje kama tungekuwa tunaishi milele! Survival for the fittest na weak competitors wote tungekuwa eliminated long ago. Asante Mungu.
 
Hii Tanzania karibu na yenyewe itaenda kaburini, watu wanajali maslahi binafsi na starehe za Muda mfupi na kusahau kabisa kuwafanyia hisani wenzao, tutafika namna hii kweli. Sitaki kuwaza ingekuwaje kama tungekuwa tunaishi milele! Survival for the fittest na weak competitors wote tungekuwa eliminated long ago. Asante Mungu.
MAMA UKISOMA ILE POSTING YANGU YA BALALI ALIFUNGWA NA OMERTA UTA ELEWA KWAMBA NCHI IKO MAHUTUTI
 
Alikomba pesa ngapi za hawa jamaa? Zilikuwa zimehifadhiwa wapi? Au ni ile tu "andika usomeke"? Ilisemwa pia kwamba amekomba za Mahita, Adadi, ..., orodha ni ndefu!
 
Back
Top Bottom