Pezzonovante
JF-Expert Member
- May 1, 2008
- 638
- 41
Lunyungu Naona Huna Evidence Kuhusu Jk Kuramba Visent Vya Jamaa Unamzulia Mkwele Wa Watu,
MY FRIEND GENERAL AKISEMA ANAMTAKA MKEO UNASEMA YES SIR
MY FRIEND GENERAL AKISEMA ANAMTAKA MKEO UNASEMA YES SIR
Kwa kuwa kila mmoja kataka dara basi nipeni muda nimrudie mnyetishaji wangu .Maana nilimuona kila kitu akasema hana sababu ya kuongopa na sasa nikaona nisimwamini nije hapa kuona kama kuna mwenye habari .Ninarudi huko porini kujipanga the same time tuendelee kama kuna mwenye fununu ambazo zitatupelekea kuona kasi ya JK ilivyo anza na sasa imedumaa .
pili kwenye hizi opelesheni za nje ile ya liberia jamaa nusu wagome kuchukua mkwanja, kwani aliwakata jamaa wakataa,palikuwa pazuli.
kama kampokonya waitara basi kamuonea! iweje ampokonye waitara na sumaye peke yao? hivi chenge, rostam, karamagi, mkapa, lowasa, .......hawaoni au?
nnachoweza kufikiri kwa hili ni JK ana beef na Waitara na itakuwa anamlipa!
na niliwahi kusikia kuwa JK ana beef na waitara kwa sababu Waitara alimkatalia JK kujiunga na kambi aliyokuwa anaisimamia Mbeya, ambayo Kikwete alipelekwa.
sababu aliyotowa waitara ni kuwa kambi hiyo ilikuwa ni kwa wanajeshi waliokuwa advanced kidogo na waliosoma, na aliona kuwa kikwete hakutimiza qualifications hizo kwa wakati ule.
Bora useme wewe, nilivyouliza mimi nikaulizwa kama najua sheria za jeshini lol mara ooh General akimtaka mkeo hakuna kusema no....!!!!...kama kitu hujui subiri wapo wanaojua watapita..utaelimika...wakati majeshi yalipotumwa liberia mkuu wa majeshi hakuwa waitara...wakati huo ndio alipokuwa ameripoti makao makuu ya jeshi kutoka india alipokuwa mwambata wa kijeshi.....
Aliyepeleka majeshi liberia ni jenerali ernest mwita kiaro.....na baadaye waliendelea kuwako huko chini ya jenerali mboma...na ndipo kashfa ya vijana kukatwa pesa ilipoanza...,hata hivyo ile operesheni iligharamiwa na serikali kwa ahadi ya kurudishiwa fedha ....waziri wa fedha akiwa lt col jakaya kikwete....zile pesa serikali haikurudishiwa...ikaishia kupata hasara kubwa!!!
Mkuu,
NDugu Lunyungu
Huko nyuma niliwahi kusema kuwa hawa wanajeshi wetu ni "Untouchables" bado ningependa kusema hali hiyo haijabadilika na sithani kama itabadilika miaka ya karibuni (wawe bado kwenye sare zao au sare za kiraia).
Gen Waitara ni mtu mdogo sana katika bwawa la ufisadi wa unaotokea jeshini, kuna Gen Mbona na wengine wengi; infact kuna wanajeshi wetu wana nyumba London. Na wale ambao hawakununua nyumba au kufungua biashara kubwa kubwa wametumia mahela mengi kusomesha watoto wao UK, USA, China etc. Mimi naamini ingawa sina ushahidi kamilifu ni kuwa hela nyingi za kifisadi zilitokana na madili haya; Rada, Helkopta, Magari na ushauri wa kijeshi kwa Congo etc.
My take on this ni kuwa hutaweza kupata ushahidi wa kutosha kurithisha wanabodi hapa JF kwa sababu vyanzo vizuri kwa nyeti kama hizi vipo jeshini. Ila hii inatosha kuwafumbua wananchi macho kuwa hawa wanajeshi wetu pamoja na heshima kubwa wanayostahili kwa kulinda mipaka yetu wengi wao kwenye ngazi za juu sio waadilifu. It's about time wajue watanzania wana macho ya kuona na sasa wana ujasiri wa kuhoji.