Wakuu,mi nina wazo kwa nini George Bushi nae asikamatwe?Mnakumbuka aliwapiga Wairaq kwa kigezo cha silaha halafu silaha hazikuonekana na raiya wengi walipoteza maisha.Apelekwe kwenye mahakama ya kimataifa kama waafrika wanvyopelekwa
Wakuu,mi nina wazo kwa nini George Bushi nae asikamatwe?Mnakumbuka aliwapiga Wairaq kwa kigezo cha silaha halafu silaha hazikuonekana na raiya wengi walipoteza maisha.Apelekwe kwenye mahakama ya kimataifa kama waafrika wanvyopelekwa
Wakuu,mi nina wazo kwa nini George Bushi nae asikamatwe?Mnakumbuka aliwapiga Wairaq kwa kigezo cha silaha halafu silaha hazikuonekana na raiya wengi walipoteza maisha.Apelekwe kwenye mahakama ya kimataifa kama waafrika wanvyopelekwa