CK Allan
JF-Expert Member
- Aug 14, 2013
- 2,729
- 5,923
George Mpole wewe ni kijana uliyevimba kichwa baada ya kuwa mfungaji bora msimu uliopita.
Picha lilianza mechi ya kwanza ya ligi shidi ya Simba, wewe ukajificha kwa makusudi eti hautakuwepo kwa maana eti utokee dakika za mwisho kama 'suprise' kwa Simba na bado hukufanya chochote, hata :shot on target'!
Wenzako wanasafiri kimataifa wewe unajifanya unaumwa ukaacha kwenda! Haya, kwasasa nasikia umejitoa kwenye timu eti kuna pesa unadai!
Hivi hapo Geita ni wewe peke yako tu unadai? Mbona unajifanya maarufu kabla hata ya umaarufu wenyewe?
Kwa akili zako ndogo na finyu unadhani dirisha dogo unaweza kwenda Simba au Yanga? Kwa taarifa yako hata Ihefu huwezi kwenda!
Rudi ongeza bidii kwenye timu, kama ipo ipo tu lakini siyo huku kulazimisha umaarufu, utakuja kuumbuka. Au kama una pasi ya kusafiria na viza nenda Uarabuni ukacheze ligi daraja la pili huko.
Picha lilianza mechi ya kwanza ya ligi shidi ya Simba, wewe ukajificha kwa makusudi eti hautakuwepo kwa maana eti utokee dakika za mwisho kama 'suprise' kwa Simba na bado hukufanya chochote, hata :shot on target'!
Wenzako wanasafiri kimataifa wewe unajifanya unaumwa ukaacha kwenda! Haya, kwasasa nasikia umejitoa kwenye timu eti kuna pesa unadai!
Hivi hapo Geita ni wewe peke yako tu unadai? Mbona unajifanya maarufu kabla hata ya umaarufu wenyewe?
Kwa akili zako ndogo na finyu unadhani dirisha dogo unaweza kwenda Simba au Yanga? Kwa taarifa yako hata Ihefu huwezi kwenda!
Rudi ongeza bidii kwenye timu, kama ipo ipo tu lakini siyo huku kulazimisha umaarufu, utakuja kuumbuka. Au kama una pasi ya kusafiria na viza nenda Uarabuni ukacheze ligi daraja la pili huko.