Lunyungu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 8,873
- 1,888
Baada ya kuthibisha ujaji wa George Kichaka tangia majuzi mawasiliano yameanza kuharibika. Hakuna mawasiliano ya uhakika kwenye simu zetu kama alivyo tabiri mwandishi mmoja wa kike . George Kichaka hadi atakapo ingia Tanzania sijui tutakuwa tuna hali gani .Nawapa taarifa tu na nyie mjaribu mambo huko kuona kama kuna ukweli wa jambo hili ama ni mimi pekee .