George Frederick Mbowe hatunae tena, JK atuma salamu za rambirambi

frederik%2Bmbowe.jpg


George Frederick Mbowe aliyefariki nyumbani kwake usiku wa Februari 29, 2012 kutokana na ugonjwa wa Kiharusi.


Amewahi kufanya kazi katika:-
1.Benki ya Rasilimali Tanzania (TIB),
2.katika nyadhifa za Mkurugenzi Mtendaji wa
3.Benki ya Maendeleo ya Afrika Mashariki (EADB),
4.Mwenyekiti wa PSRC na
5.Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL).

Mungu ampe mapumziko mema.Amen

Vile vile aliwahi kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya TISCO(Tanzania Industrial Studies and Consulting Organisation)
RIP Mzee George Mbowe
 
frederik%2Bmbowe.jpg


George Frederick Mbowe aliyefariki nyumbani kwake usiku wa Februari 29, 2012 kutokana na ugonjwa wa Kiharusi.


Amewahi kufanya kazi katika:-
1.Benki ya Rasilimali Tanzania (TIB),
2.katika nyadhifa za Mkurugenzi Mtendaji wa
3.Benki ya Maendeleo ya Afrika Mashariki (EADB),
4.Mwenyekiti wa PSRC na
5.Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL).

Mungu ampe mapumziko mema.Amen
Kamanda pole saana na msiba, Mungu akupe nguvu amani na hekima ya kupambana na majukumu ya kifamilia!!!!!!

 
wanauhuciano gan na freeman

Post kama hizi zina onyesha jinsi wazee waliofanya kazi kwa kujituma sana toka enzi za Mwalimu walivyo sahaulika.
Mzee George Mbowe alikuwa mmoja wa economical think tanks and movers wakati wa Mwalimu na hata baada ya hapo.
Aliendesha vyombo vya fedha(Banks etc) kwa uaminifu mkubwa, na wakati huo haikuwepo chakachuaji kama ya EPA n.k.
Wengi wanafikiri ni ana undugu na Freeman, la hasha, huyu asili yake ni Malawi, watu waliohamia nchini miaka mingi iliyopita toka baba zao.
Nimemfahamu Mzee Mbowe binafsi kwa vile alikuwa si mpenda makuu, mcheshi na mkarimu akiheshimu kila mtu hata akiwa mdogo.
We will miss you George
R.I.P.
 
Post kama hizi zina onyesha jinsi wazee waliofanya kazi kwa kujituma sana toka enzi za Mwalimu walivyo sahaulika.
Mzee George Mbowe alikuwa mmoja wa economical think tanks and movers wakati wa Mwalimu na hata baada ya hapo.
Aliendesha vyombo vya fedha(Banks etc) kwa uaminifu mkubwa, na wakati huo haikuwepo chakachuaji kama ya EPA n.k.
Wengi wanafikiri ni ana undugu na Freeman, la hasha, huyu asili yake ni Malawi, watu waliohamia nchini miaka mingi iliyopita toka baba zao.
Nimemfahamu Mzee Mbowe binafsi kwa vile alikuwa si mpenda makuu, mcheshi na mkarimu akiheshimu kila mtu hata akiwa mdogo.
We will miss you George
R.I.P.
Asante Lole, Chris na Glory ni ma age mate halafu nilikapendaga kabinti kake ka Apollonia ila sikuwahi kukaambia!.

Mzee huyu ni great man, alikuwa humble na down to earth!.

Rip George Mbowe!.
 
Speaker, weka jina la kwanza nalo..maana kuna Mbowe wengi mkuu!!

RIP

Jamani mbona jina limeelezwa kuanzia kwenye heading na mpaka kwenye maelezo yaliyofuatia? Mnataka Speaker aweke jina lipi zaidi?

R.I.P. George Frederick Mbowe!!!
 
Asante Lole, Chris na Glory ni ma age mate halafu nilikapendaga kabinti kake ka Apollonia ila sikuwahi kukaambia!.

Mzee huyu ni great man, alikuwa humble na down to earth!.

Rip George Mbowe!.

Kwa hiyo ndiyo unakaambia sasa? Hujui kamefiwa hako ka Apollonia?
 
Post kama hizi zina onyesha jinsi wazee waliofanya kazi kwa kujituma sana toka enzi za Mwalimu walivyo sahaulika.
Mzee George Mbowe alikuwa mmoja wa economical think tanks and movers wakati wa Mwalimu na hata baada ya hapo.
Aliendesha vyombo vya fedha(Banks etc) kwa uaminifu mkubwa, na wakati huo haikuwepo chakachuaji kama ya EPA n.k.
Wengi wanafikiri ni ana undugu na Freeman, la hasha, huyu asili yake ni Malawi, watu waliohamia nchini miaka mingi iliyopita toka baba zao.
Nimemfahamu Mzee Mbowe binafsi kwa vile alikuwa si mpenda makuu, mcheshi na mkarimu akiheshimu kila mtu hata akiwa mdogo.
We will miss you George
R.I.P.

Ni kweli ... the old man was great! RIP Mzee Mbowe.
 
Back
Top Bottom