Fundisi Muhapa
JF-Expert Member
- Nov 25, 2013
- 4,422
- 2,110
Miaka tele ndiyo nini? Halafu wewe kama siyo mwanachama wa TLS inakuuma nini?
Sio kila tunachojadili humu basi sote ni wahusika mia mia. Mengine ni mawaidha na yanawafikia walengwa kwa kusoma humu.
So lazima tuonye na kushauri pale wanapoenda mrama. Huyo bwana kufungua kesi ni figisu tu. Hana nia njema.