Unapozungumzia Vijana wasomi na Muhimu katika kukuza na kubadirisha mitazamo ya baadhi ya wachumi ambao ni wachumia tumbo basi huto sita kumtaja Mh. Mwambe ambaye ni miongoni mwa viongozi wa chache wenye kukemea uovu unaoleta udumavu wa uchumi wetu na maendeleo yetu Kama Taifa.
Tumeona Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan katika kugundua hilo amemuona kijana na msomi katika maswala ya uchumi na uwekezaji amemuamini na kumtaka asaidie kukuza na kustawisha maswala ya uwekezaji nchini.
Tumeona mchango wake wakati akiwa Mkurugenzi wa TIC ameweza kuipa ushauri TRA kutojenga uadui na Wafanyabiashara na wawekezaji nchini ili kutoa fursa kwa Serikali kuongeza ukusanyaji wa mapato na kuleta Maendeleo nchini.
Wanaopinga kelele juu yake hivi karibuni ni Wachumi wachumia Tumbo
Tumeona Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan katika kugundua hilo amemuona kijana na msomi katika maswala ya uchumi na uwekezaji amemuamini na kumtaka asaidie kukuza na kustawisha maswala ya uwekezaji nchini.
Tumeona mchango wake wakati akiwa Mkurugenzi wa TIC ameweza kuipa ushauri TRA kutojenga uadui na Wafanyabiashara na wawekezaji nchini ili kutoa fursa kwa Serikali kuongeza ukusanyaji wa mapato na kuleta Maendeleo nchini.
Wanaopinga kelele juu yake hivi karibuni ni Wachumi wachumia Tumbo