pisi jacky
Member
- Oct 21, 2020
- 32
- 141
Hello, everyone
Hope mko poa, siku kazaa zimepita niliitisha Kikao Cha ladies. kutaka kujua kwanini mala nyingi hua haiwezekani kushare mwanaume wapo waliorespond raha ya mume muwe zaidi ya mmoja! Wapo waliobisha kabisa wengine Hadi nimewaona pm wakieleezea kwa hisia Kali sana.
Sasa nawaita wenye nyumba, mimi hua naamini wanawake ni jeshi kubwa but mwanaume ni general of the army.
Kabla sijasimulia nilichotaka kusimulia na kusema ninachotaka kusema naomba niwaulize. Nyie kwenu ni ndoa ipi mnaipendelea ya mke mmoja au ya mke zaidi ya mmoja?
Hope mko poa, siku kazaa zimepita niliitisha Kikao Cha ladies. kutaka kujua kwanini mala nyingi hua haiwezekani kushare mwanaume wapo waliorespond raha ya mume muwe zaidi ya mmoja! Wapo waliobisha kabisa wengine Hadi nimewaona pm wakieleezea kwa hisia Kali sana.
Sasa nawaita wenye nyumba, mimi hua naamini wanawake ni jeshi kubwa but mwanaume ni general of the army.
Kabla sijasimulia nilichotaka kusimulia na kusema ninachotaka kusema naomba niwaulize. Nyie kwenu ni ndoa ipi mnaipendelea ya mke mmoja au ya mke zaidi ya mmoja?