Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 19,520
- 37,929
Pipa namba sabaa linapeleka maji sehem mojaa
hapa ndipo kuna point of contradiction
angalia vizuri pembeni ya huo mfuniko vizuri kuna alama zimewekwa nyeusi upande wa kulia na kushoto kuashiria ndio mwisho wa ujazo then angalia 7
Do Something 2day That Your Future Will Thank You 4
7 haiwezekani kwa sababu haipo point ya mwisho kwenye mzunguko, ona yakikaribia kujaa yanachukuliwa kuelekea namba 10 ambayo nalo limetobolewa kwa chini kulisha namba 11
haya mkuuThe same, hiyo alama nyeusi ndio inaonyesha hapo juu ya kizibo cha blue kuonyesha limiting point ya pipa kwa juu, the same point niliyosema mwanzo.
Tobo la pipa namba 7 lipo chini ya alama hiyo, hivyo maji yatapitiliza kwenda kwanza pipa namba 11 na namba 10, pipa hizo mbili zikijaa ndio maji yatamalizia kujaza pipa namba 7. Sio kabla ya namba 11 na namba 10.
Ndugu zangu habari za wakati huu?
Kati ya mapipa (tanks) haya, ni lipi unafikiri litakuwa la kwanza kujaa maji?
View attachment 554041
Namba 11 ndo litaanzaNdugu zangu habari za wakati huu?
Kati ya mapipa (tanks) haya, ni lipi unafikiri litakuwa la kwanza kujaa maji?
View attachment 554041
Namba 7Ndugu zangu habari za wakati huu?
Kati ya mapipa (tanks) haya, ni lipi unafikiri litakuwa la kwanza kujaa maji?
View attachment 554041