mbona wanaume wanakatwa hivyohivyo?
Tohara zote hazifai! Najiuliza kama ningetahiriwa ukubwani-tena kiasili kule kwetu gvi linakatwa na kisu butu-bila ganzi... ingekuwaje!!!
usiniambie wanangolewa kichwa!!!
Inasikitisha some society still practice this inhuman and degrading act.